Watoto wake ,ila walikuwa wanaishi Kenya,Lovy pia ni kaka wa Awilo LongombaMiaka ya 1990 kulikuwa na mwanamuziki Lovy Longomba wa bendi ya Afrisa ambaye alifariki kwa ajali ya gari; hao Christian na Lovy wa huko Marekani wana uhusiano na marehemu Lovy Longomba wa Afrisa?
Vv
itakuwa. Maana baba wa awilo longomba aliita vicky longomba na alikuwa band ya afrisa,itakuwa ni ukoo mmojaMiaka ya 1990 kulikuwa na mwanamuziki Lovy Longomba wa bendi ya Afrisa ambaye alifariki kwa ajali ya gari; hao Christian na Lovy wa huko Marekani wana uhusiano na marehemu Lovy Longomba wa Afrisa?
Vv
Ni Watoto wake mapacha Christian na Lovy Jr Longomba. Mjomba wao Ni Awilo Longomba , Awilo na Lovy Sr Ni mtu na KakaMiaka ya 1990 kulikuwa na mwanamuziki Lovy Longomba wa bendi ya Afrisa ambaye alifariki kwa ajali ya gari; hao Christian na Lovy wa huko Marekani wana uhusiano na marehemu Lovy Longomba wa Afrisa?
Vv
tafuta wimbo unaitwa Queen by longombas.....ni very talented na hu9 wimbo waliutendea haki sana haswa christian mwenyewe maana alikuwa na sauti inayosikika na kubeba uzito wa maneno....Mm namjua AWILO TU Sasa huyo Christian ndio AWILO au
Sorry sijasoma nyuz nyingne za nyuma pengne kuna ufafanuz
Mkuu huujui wimbo wa vuta pumzi ulikuwa maarufu Sana miaka ya 2005_2006 na my queen pia ulivuma. Ingia YouTube search the longombas utaona nyimbo zao.Mm namjua AWILO TU Sasa huyo Christian ndio AWILO au
Sorry sijasoma nyuz nyingne za nyuma pengne kuna ufafanuz
RIP Christian Longomba of The Longombastafuta wimbo unaitwa Queen by longombas.....ni very talented na hu9 wimbo waliutendea haki sana haswa christian mwenyewe maana alikuwa na sauti inayosikika na kubeba uzito wa maneno....