Ishu sio usafiri alioutumia ishu ni kutoka Madeira mpaka Turin ni wazi kuwa anastahili karantini siku 14Hapo kwake kulikuwa hakuna kiwanja cha ndege?
Maana si ana ndege binafsi huyu ingeweza mtoa kwake mpaka Italy bila muingiliano na watu tena.
Hzo sku zote amekaa ureno inamaanaHapo kwake kulikuwa hakuna kiwanja cha ndege?
Maana si ana ndege binafsi huyu ingeweza mtoa kwake mpaka Italy bila muingiliano na watu tena.