Christiano Ronaldo ndiye wa kwanza kupiga Tik tak Duniani?

Christiano Ronaldo ndiye wa kwanza kupiga Tik tak Duniani?

Dr Guitar tz

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
312
Reaction score
247

Ronaldo.jpg


Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.

Najiuliza nini cha ajabu pale? Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli, ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie, Didier, Alex Sanchez Drogba, Suarez, Lewadonsk, Naymar Jr..nk

Mwisho wa Siku unagundua CR7 anasafiria Nyota za kupendwa lakini ni wa kawaida sana.
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa CR7 ni kutaka kumshindanisha na Messi, Kiukweli Messi anakariba na style tofauti na CR7 Kaliba ya Messi kwa sasa waweza kuwaweka group moja na Mohammed Salah, Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua na majukumu mengi zaidi ya nyavu.
 
Niliachaga kuangalia mpira baada ya kukithiri kwa overrating za kijinga wanazopata CR na Messi, na alivyoondoka Ronadinho uwanjani, sijaona mchezaji dimbani, umejaa ujinga tu.
Mchezo wa wanaume huuwezi endelea kushabikia taarabu
 
Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.
Najiuliza nini cha ajabu pale?Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli,ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie..Didier...Alex Sanchez Drogba .Suarez...lewadonsk..Naymar Jr..nk
Mwisho wa Siku unagundua cr7 anasafiria Nyota za kupendwa lkn ni wa kawaida sana
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa cr7 ni kutaka kumshindanisha Na Messi,Kiukweli Messi ana Kariba Na style tofauti Na cr7 Kariba ya messi kwa sasa waweza waweka group moja Na Mohd Salah,Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua Na majukumu mengi zaidi ya nyavu.

Watu wote wanaomsifia na kumshabikia Cristiano Ronaldo ni ' Washamba / Mambwigira ' sana halafu hawajui Mpira wakiongozwa na Mchambuzi wa Soka na Mtangazaji wa Clouds fm na tv Shaffih Dauda. Anachokifanya leo huyo Mbwiga / Mshamba Cristiano Ronaldo vimeshafanywa sana na ' Mafundi ' wa Kutukuka akina Zinedine Zidane na Ronaldinho Gaucho. Watu kila siku unawakuta katika Vibanda umiza wakitizama ' mipira ' lakini bado mpira wenyewe hawaujui. Inasikitisha mno!
 
Naunga mkono hoja yako, na kwa hakika wewe unajua kuchambua mchezo na wachezaji wa soka. C7 namuona wa kawaida lakini wapenzi wake wanatulazimisha tumkubali.
 
Kama ni kawaida kwa nini umeanzisha uzi hapa JF?Jiulize watu walikua wapi kuorodhesha hizo overhead kick nyingine mpaka wamesubiri afunge CR7 ninachokiona wenye chuki na Ronaldo hawataki kuona kizuri toka kwake ndio maana wako busy kuongelea lile goli bado wanatamani angefunga yule wanaemsema katoka sayari nyingine(sijui ipi).

Mwisho wa siku CR7 kafunga ilo goli na wapuuzi walioko Magomeni Makanya wanalalama ila wenye soka lao walisimama kuonyesha heshima kwa walichokiona kwa macho yao ila wewe na mimi tumeona kwenye Tv kelele kibao.
 
Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.
Najiuliza nini cha ajabu pale?Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli,ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie..Didier...Alex Sanchez Drogba .Suarez...lewadonsk..Naymar Jr..nk
Mwisho wa Siku unagundua cr7 anasafiria Nyota za kupendwa lkn ni wa kawaida sana
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa cr7 ni kutaka kumshindanisha Na Messi,Kiukweli Messi ana Kariba Na style tofauti Na cr7 Kariba ya messi kwa sasa waweza waweka group moja Na Mohd Salah,Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua Na majukumu mengi zaidi ya nyavu.
Ni wengi wamefunga aina hiyo ya magoli na hakukuwa na shamra shamra za kuzidi,lkn kwa u star wake yawezekana watu walipenda na yeye afunge aina hiyo ya magoli na wamesubiri sana, ghafla imewezekana
 
Back
Top Bottom