Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,562
Mkuu ni PM bas tuongee tuhame hii dunia kwa dk chache
Umhamishie wapi mwenzio!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni PM bas tuongee tuhame hii dunia kwa dk chache
tuhame dunia???? Wanohama dunia ni walokufa, tutahamaje me & wewe angali twapumua
Picha ni editing tu hizo mkuu...photoshop kwa wingi n.k.....subiri mpaka usikie kwenye 'trusted source' kama bbc, aljazeera nk
huo uzushi kama alivozushiwa mike tyson last year.
Hizo picha ni zakwel na ata clabuni kwake real wamekuwa wakimlalamika sikuhizi huwa akaagi anakuwa anakuja kwa huyo jamaa Morocco kula bata na huyo jamaa ni boxer ni rafiki yake.
Habari toka Juzi inachanganya sana,,
lakini Kama kapenda mwenyewe wacha atafunwe tu mamayo zake
Nev zote zinaachwa nyuma ya ngozi, zinawekwa na ngozi ya nje inageuziwa ndani. Ndiyo mwanaume anakuwa anasugua kwenye kichwa cha uume kilichobadilishwa na kuwa tundu. Kati ya nyonga kuna uwazi unaoshikizwa huo mlija wakutengenezwa na nyama.
Mkuu vp tena hujajua bana tunahama kiutuuzima then tunarudi nitakufikisha kunako stahili
Km ni kweli Huyu MTU anaingiliwa inaniumiza sana maana me shabiki wake sana, naomba. mungu isiwe kweli
Lol! lkn tunakaa kaa kidogo huko tusiwahi kurudi
Mkuu vp tena hujajua bana tunahama kiutuuzima then tunarudi nitakufikisha kunako stahili
Lol! lkn tunakaa kaa kidogo huko tusiwahi kurudi
Sir Nature, Msitu Wa Vina a.k.a KIBLA