Christiano Ronaldo, shoga wa kisirisiri kwa sababu za kibiashara

Christiano Ronaldo, shoga wa kisirisiri kwa sababu za kibiashara

Mleta uzii huwajui watu hata wewe kitaa wanaweza kuwa wanakusema ni shoga na hujawahi kanusha
 
Uzushi huu mbona wa muda mrefu na hizo hizo picha. Nikafikiri labda kuna picha mpya.

Alizushiwa Michelle Obama kua ana dushelele sembuse CR kua gay. Ebu kwenye kutafuta udaku wa watu maarufu tuwe na hoja za msingi
 
mashabiki wa messi bhana wameona cha kuongelea hakipo wanaanza kusema fundi CR7 shoga
 
Kutokana magazeti ya udaku na michezo, ni ukweli usiofichika kuwa mwanaspoti mashuhuri duniani, Christiano Ronaldo ni shoga, na yeye Ronaldo hajawahi kupinga hizi shutuma hata siku moja, zaidi ya kukaa kimya, waandishi wa habari za michezo wanadai sababu za Ronaldo kutoku "come out" au kusema ukweli huu ni hasa ni za kibiashara, ana mikataba kedekekede kila sehemu, kuanzia viatu, nguo, mafuta ya nywele, FIFA games, vifaa vya michezo na n.k.
Lakini je sisi ni nani wa kuanzia kumrushia mawe kwa kuwa shoga?! Je hii dunia itamtupa Ronaldo wa watu kisa ni shoga tu?! Wapenzi wa mpira mtaacha kumuongela Ronaldo kwa kisingizio hicho badala ya umahiri wake uwanjani?! Ni mchezaji mpira aliyejipamba na medali za kila aina kasoro za World Cup tu.
Mnaonaje wadau?!

Sources
Cristiano Ronaldo is claimed to be in gay relationship with a Moroccan kickboxer Cristiano Ronaldo is claimed to be in gay relationship with a Moroccan kickboxer Ronaldo made star of Instagram page 'Gays in Paradise' http://shr.gs/oI26kZO-kickboxer-it-has-been-sensationally-claimed-2/
Sensational claim Ronaldo is having a gay relationship with his friend Cristiano Ronaldo is 'in a gay relationship with kickboxer friend Badr Hari' | Daily Mail Online via @MailOnline
Cristiano Ronaldo Taunted to ‘Come Out of the Closet’ by Barcelona Fans: VIDEO Cristiano Ronaldo Taunted to 'Come Out of the Closet' by Barcelona Fans: VIDEO - Towleroad
Uyo jamaa aifichik
 
bdf6af6272e40a68f4130b383b4d9570.jpg
G]
 
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] yanawatoka kweli team mmoroco jamaa kweli ni zwazwa. sababu hajawahi kanusha
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tunaogopana kwa sababu hatujajuana ...hatujajuana kwa sababu tunatengana
 
Kutokana magazeti ya udaku na michezo, ni ukweli usiofichika kuwa mwanaspoti mashuhuri duniani, Christiano Ronaldo ni shoga, na yeye Ronaldo hajawahi kupinga hizi shutuma hata siku moja, zaidi ya kukaa kimya, waandishi wa habari za michezo wanadai sababu za Ronaldo kutoku "come out" au kusema ukweli huu ni hasa ni za kibiashara, ana mikataba kedekekede kila sehemu, kuanzia viatu, nguo, mafuta ya nywele, FIFA games, vifaa vya michezo na n.k.
Lakini je sisi ni nani wa kuanzia kumrushia mawe kwa kuwa shoga?! Je hii dunia itamtupa Ronaldo wa watu kisa ni shoga tu?! Wapenzi wa mpira mtaacha kumuongela Ronaldo kwa kisingizio hicho badala ya umahiri wake uwanjani?! Ni mchezaji mpira aliyejipamba na medali za kila aina kasoro za World Cup tu.
Mnaonaje wadau?!

Sources
Cristiano Ronaldo is claimed to be in gay relationship with a Moroccan kickboxer Cristiano Ronaldo is claimed to be in gay relationship with a Moroccan kickboxer Ronaldo made star of Instagram page 'Gays in Paradise' http://shr.gs/oI26kZO-kickboxer-it-has-been-sensationally-claimed-2/
Sensational claim Ronaldo is having a gay relationship with his friend Cristiano Ronaldo is 'in a gay relationship with kickboxer friend Badr Hari' | Daily Mail Online via @MailOnline
Cristiano Ronaldo Taunted to ‘Come Out of the Closet’ by Barcelona Fans: VIDEO Cristiano Ronaldo Taunted to 'Come Out of the Closet' by Barcelona Fans: VIDEO - Towleroad
Mwache na pesa zake! Wewe komaa na timu yako ya taifa
 
LAKINI KWANINI RONALDO HAKANUSHI HABARI HIZI??!!!
Kwani ni Nani humng'ata mbwa pindi mbwa amng'anapo yeye
Kutokana magazeti ya udaku na michezo, ni ukweli usiofichika kuwa mwanaspoti mashuhuri duniani, Christiano Ronaldo ni shoga, na yeye Ronaldo hajawahi kupinga hizi shutuma hata siku moja, zaidi ya kukaa kimya, waandishi wa habari za michezo wanadai sababu za Ronaldo kutoku "come out" au kusema ukweli huu ni hasa ni za kibiashara, ana mikataba kedekekede kila sehemu, kuanzia viatu, nguo, mafuta ya nywele, FIFA games, vifaa vya michezo na n.k.
Lakini je sisi ni nani wa kuanzia kumrushia mawe kwa kuwa shoga?! Je hii dunia itamtupa Ronaldo wa watu kisa ni shoga tu?! Wapenzi wa mpira mtaacha kumuongela Ronaldo kwa kisingizio hicho badala ya umahiri wake uwanjani?! Ni mchezaji mpira aliyejipamba na medali za kila aina kasoro za World Cup tu.
Mnaonaje wadau?!

Sources
Cristiano Ronaldo is claimed to be in gay relationship with a Moroccan kickboxer Cristiano Ronaldo is claimed to be in gay relationship with a Moroccan kickboxer Ronaldo made star of Instagram page 'Gays in Paradise' http://shr.gs/oI26kZO-kickboxer-it-has-been-sensationally-claimed-2/
Sensational claim Ronaldo is having a gay relationship with his friend Cristiano Ronaldo is 'in a gay relationship with kickboxer friend Badr Hari' | Daily Mail Online via @MailOnline
Cristiano Ronaldo Taunted to ‘Come Out of the Closet’ by Barcelona Fans: VIDEO Cristiano Ronaldo Taunted to 'Come Out of the Closet' by Barcelona Fans: VIDEO - Towleroad
 
G Sam utaliwa,we fuatilia at your own goddamn risk...
Hiyo picha ni mahususi kwa haters wa ccm!
Hakuna mtu nonsensical kama Benja!
Hakuna kuchekea chekea uchwara...kama mleta mada!
 
Back
Top Bottom