2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
Dunia ya sasa hayo mambo hayafai.Ndio dawa yao, enzi zangu naudananda nilikiwa nina tabia, nikifunga goli au kusababisha goli, naweka mkono ndani ya bukta halafu nautikisa kama ub0oo vile, naenda kuutikisa kule kule kwa mashabiki maandazi.. 😂
Kwangu mimi ilikiwa njia bora, nawafunga kisha nawapa dawa yao.Dunia ya sasa hayo mambo hayafai.
Nakubaliana na matusi ya kibaguzi ya rangi na jinsia yaondolewe ila yaliyobaki tunayoweza kutumia ni machache. Ukifanya hivyo leo, wanawake (na wanaume) walio mbele yako wanakushtaki kwa unyanyasaji wa kingono.
Wanaozomea huwa hawaoni kama na wao wanafanya shambulizi la kisaikolojiaKwangu mimi ilikiwa njia bora, nawafunga kisha nawapa dawa yao.
Unachosema ni kweli, ila hujui hali anayopitia yule anaezomewa, mzee ushawahi kusimama hata darasani kusolve swali ukawa unazomewa? Lengo la mashabiki ni kukutoa uwanjani, sasa ukiwafunga unawanyamazisha midomo.
Inakatazwa kufanya hivyo kwa usalama, sababu mashabiki ni wengi wakikereka na kuamua kulianzisha itakuwa hatari saana.
Ni shambulio la kisaikolojia na ni baya mnoooWanaozomea huwa hawaoni kama na wao wanafanya shambulizi la kisaikolojia
Hivi wewe ni KE kweli? Mbona umeelezea story kubwa hiyoMimi nilipendaga ile battle yake na Diego Simeone kwenye UCL wakati akiwa Juventus.
Atletico waliposhinda 2-0 kwao Diego akamfanyia Ronaldo hayahaya ya kwenye video, marudiano Juve wakashinda Turin nae akalipiza.
Nilicheka mno!
We unaonaje?Hivi wewe ni KE kweli? Mbona umeelezea story kubwa hiyo
hii ni manzi ya ndg mwandishiHivi wewe ni KE kweli? Mbona umeelezea story kubwa hiyo