ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Huyo anajiharibia tu maisha yake.Ukifanya utani na mambo ya Mungu mwisho wako lazima uwe mbaya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila na make up bwana inasaidia ila kiuhalisia umri umeenda kwanzia 46 sio mtoto her first born is around 26ila uyo mama ni mzuri sana asee, mzee asingeweza himili vishindo
wanaume tuoe pisi za kawaida, hzo kali huwa za mapambo tu
Huyo anajiharibia tu maisha yake.Ukifanya utani na mambo ya Mungu mwisho wako lazima uwe mbaya sana.
Dah umejuaje hawa warundi hata umfanyie Nini huwa hawana shukuraniMbegu ya Kirundi hiyo hawanaga shukurani
Ila inashangaza Mimi nilikuaga naamini mwanamke mrembo anazaa watoto wazuri pia ila nashangaa Kwa mrembo ameshindwa kurithisha uzuri wake Kwa mabinti zake au ndo ana mchanganyiko wa utaifa tofautiila uyo mama ni mzuri sana asee, mzee asingeweza himili vishindo
wanaume tuoe pisi za kawaida, hzo kali huwa za mapambo tu
Nimeishi nao sana ni wanafiki htr na wakatili na hata umfanyie Nini mwanaume lazima akadange tu njeDah umejuaje hawa warundi hata umfanyie Nini huwa hawana shukurani
🙄Walokole Sometimes huwa tunajishusha wenyewe na hizi ndoa zetu za ki comedian...!
Miaka 19 Ndo utetezi kuvunja ndoa? Ataenda kumwambia Mungu wake kwamba amekimbia ndoa sbb aliingia akiwa na Miaka 19..?
Anatamani umri urudi nyumaUmri ushaenda ndo anakumbuka ujana
You never know with women- mioyo yao ni vichaka vizito sana na washaplan mambo yao zamani sana , wanasubiria tu muda muafaka ufike.Wanawake ni viumbe cya ajabu sana mkuu!!
Wanasaliti vibaya mno!
Haya mafurushi yameshindwa kila kitu, mwisho lawama zote kwa wanawake!!Mke ndio adui namba moja duniani, ukishindwa kufanya chochote mlaumu mke, ukishindwa kijishughulisha mlaumu mke, ukijikwaa mlaumu mke......
Mwisho kataa ndoa.
Naona anatamani hata Leo kesho Babu age ili afunge ndoa ya ndoto zakeIyo pisi kwani imeolewa tena au anadanga tuu kwa masela
Makeup 💄💄 zinatudanganya kabisa wkt mtu Hadi tuje tumtie macho I au kwenye picha tyr kaishafanyiwa painting ya makeup masaa mawiliUmri ushaenda ndo anakumbuka ujana
Mungu awalinde baraka zake zisiwapungukie....AmenMungu wa Mbinguni aendelee kuwalinda wanaume