Christina Shusho azikwapua milioni 10 za nabii mkuu GeorDavie, amuita mfalme

Huyu mume wake si mchungaji???
 
Najua kila mtu ana haki ya kutafuta ugari na pesa kwa njia yake,ila kinachotia ukakasi ni kujificha nyuma ya utakatifu na ulokole,uchamungu,kutoka jamii iwaone kama watumishi wa Mungu,kumbe ni madanga tu,na secural musicians kama wabongo fleva tu,
Huyu Dada angeweka wazi tu,anachoimba sio gospel,Hana u gospel wowote,Hana anachofanana na watu kama Rebeca Malope nk,
Ukisikiliza maongezi yake,yamejaa unafiki na utapeli,Bora umsikilize Zuchu,au Lady Jayd,kuliko huyu anayejifanya "mchamungu"kumbe ni shankupe tu limejificha kwenye injili na Ukristo,Hana tofauti na matapeli wengine kama Mwamposa,Lusekelo.
Hatakiwi kudemand "high moral ground"kutoka kwa jamii,wakati Hana hata uwezo wa kueleza,kwanini ndoa yake ilivunjika,alionewa,aliteswa au?
 
Mkuu naomba uanze na mimi[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…