Christina Shusho, colabo na Diamond hapo umeliwa!

Christina Shusho, colabo na Diamond hapo umeliwa!

View attachment 2976797
Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto!

Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama .
Christina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo!
Kila la heri mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye sasa ana assingment!
kaliwa
 
Kuhusu maisha yake binafsii hainihusuu, nasikiliza nyimbo zake, bas inatoshaaa!!!
 
kwa mtazamo wa kawaida tina anapendeza sana na kuwa na mvuto wa kimapenzi, mond hataacha hiyo chakula lazima atakula na anaweza akatangaza kimtindo kuwa anakula ili tu kumkomoa. Haijulikani tina kajiandaa vipi kisaikolojia ataeleweka vipi kama atatoa penzi kwa mond na kuishia penzi lao ku trend
 
View attachment 2976797
Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto!

Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama .
Christina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo!
Kila la heri mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye sasa ana assingment!
Vichwa ngumu muwe mnawaacha hadi waungue mikono.Hata hivyo,akiliwa hatachubuka ngozi.
 
View attachment 2976797

Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto!

Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama. Christina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo. Kila la heri mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye sasa ana assingment

KvfIRwA lazima hapo, huyu dada malaya malaya anajificha kwenye nyimbo za injili
 
Back
Top Bottom