Jaribu uone utanishukuru πila uwe umesimama au unadrive kwenda MkoaniHivi kweli mimi nimekaa KITAKO kabisa namsikiliza Christina Shusho? au sijui Shaboka?
Hayo ni matumizi mabaya ya KITAKO........ Actually ni ufujaji wa KITAKO.
Shusho ana meseji gani ya kunieleza?
Huyo shaboka yeye anapenda JANDO LA NDOA.
Cc: realMamy Kalpana Dr. Mariposa Extrovert Mbaga Jr Poor Brain Monetary doctor The Icebreaker
Shusho ni mchinjaji sio Mchungaji.Wote ni mapastor lkn nani anakukosha Zaidi?
ππππ LOLJaribu uone utanishukuru πila uwe umesimama au unadrive kwenda Mkoani
hili la ke wenye sauti nzito inabidi tulipeleke kikaoniSauti ya simba jike rose shaboka ni moto wa kuotea mbali.
Si hutaki kukaa wewe π π au usikilize ukiwa umelala ππππππ LOL
ππ mie tayari nimeshaolewa na Mbaga JrItabidi nimpeleke BRAZA CHOGO kwa Rose shaboka akaombewe sasa apate mume
Nitakalia Kigoda ili twende sambambaSi hutaki kukaa wewe π π au usikilize ukiwa umelala ππ
Mimi Christina ananikoshagaππ mie tayari nimeshaolewa na Mbaga Jr