Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zwazwa wewe unawaamini hawa wasanii waitwao Mapastor kweli?Wote ni mapastor lkn nani anakukosha Zaidi?
Mmoja amekaa kiume (Shusho)Wote ni mapastor lkn nani anakukosha Zaidi?
wala haikuwa dhihaka mkuu, ilitoka ktk uvungu wa moyo wangu kabisa.Wakati wayahudi wanamsulubu Yesu,walimvalisha taji la miiba wakambandikia kibao juu ya msalaba"huyu ni Yesu mfalme wa wqyahudi"wakidhani wanamdhihaki.....Amina kuu napokea neema uliyonitamkia na baraka zako
Hadi wewe ni kataa ndoa?Kataa ndoa, ndoa ni utapeli🤣🤣
Huyo Shaboka anawaingiza sana chaka wanawake.Wote ni mapastor lkn nani anakukosha Zaidi?
Huyu ndio alimuacha mumewe ili agawe uroda kwa Kiben tenMimi Christina ananikoshaga
Mimi nataka ushirika na wewe
Ewee Roho....
Mimi nataka ushirika na wewe
Roho....
Mimi nataka ushirika na wewe....
Ewe Roho Mimi nataka ushirika na wewe
Roho....
SECRETARY BIRD
Hatujui sababu za kuachana na mumewe....... Ila kuimba Yuko vzrHuyu ndio alimuacha mumewe ili agawe uroda kwa Kiben ten
1 Wakorintho 14:34-35Leta ushahidi.
1 Wakorintho 14:34-35Naomba mstari....
Haya ni maneno ya Paulo...Asante1 Wakorintho 14:34-35
34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.
35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.
1 Timotheo 2:11-14
11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.
12 Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.
13 Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.
14 Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.
1 Wakorintho 14:36-38Haya ni maneno ya Paulo...Asante