Christina Shusho vs Rose Shaboka

mi nawapendaga Zabron Singers.

"HILI LIMENILIZA SANA"
Christina ni noma

Tusisikilize walimwengu hawana wema
Hawana wema hao......

Tupatapo neno tulichuje lililo jeema liwe letuuu mpenzi wangu ulivyo umbikaaaaa katika viumbe umezidi wote
 
Shusho ni changudoa tu wa imani...umaarufu ulimkimbiza kwa mumewe sasa anachokifanya ni kuomba sympathy kwa jina la dini.
 
Lifikishe haraka sana!!! Kwa nini wawe na sauti nzito?
 
Mjukuu wangu ephen_, naomba picha ya Mchungaji Rose Shaboka na mawasiliano yake tafadhali. Nataka niuanze vizuri mwaka 2025. Kwa hizi sifa alizomiminiwa kwenye huu uzi, naamini anaweza kuniondolea haya mazindiko yangu ya uganga.
 
Shusho ni mtamu kwa kumuangalia tu anajua sana, Shaboka simjui ila wanawake wote ni wazuri ni wewe tu na jicho lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…