Walai tena Braza...hao wote midomo jabaHivi kweli mimi nimekaa KITAKO kabisa namsikiliza Christina Shusho? au sijui Shaboka?
Hayo ni matumizi mabaya ya KITAKO........ Actually ni ufujaji wa KITAKO.
Shusho ana meseji gani ya kunieleza?
Huyo shaboka yeye anapenda JANDO LA NDOA.
Cc: realMamy Kalpana Dr. Mariposa Extrovert Mbaga Jr Poor Brain Monetary doctor The Icebreaker
mi nawapendaga Zabron Singers.Mimi Christina ananikoshaga
Mimi nataka ushirika na wewe
Ewee Roho....
Mimi nataka ushirika na wewe
Roho....
Mimi nataka ushirika na wewe....
Ewe Roho Mimi nataka ushirika na wewe
Roho....
SECRETARY BIRD
Huyo dada naipenda sana sauti yake siwezi kueleza kwa maandishi nikaeleweka namna sauti yake inavyonibariki.hili la ke wenye sauti nzito inabidi tulipeleke kikaoni
Kudadadekiii 😂 we chizi aseeh....mi nawapendaga Zabron Singers.
"HILI LIMENILIZA SANA"
Christina ni nomami nawapendaga Zabron Singers.
"HILI LIMENILIZA SANA"
Hakuna pastor hapoWote ni mapastor lkn nani anakukosha Zaidi?
Kuwalinganisha hawa watu wawili ni kumkosea sana Rose Shaboka.Wote ni mapastor lkn nani anakukosha Zaidi?
Tina angebaki kwenye uumbaji tu Tena wkt Yuko kwa mumewe alifanya vema sana saiz ni mwendo wa kiki tu na trending ya Martha mwaupaja na diamondKuwalinganisha hawa watu wawili ni kumkosea sana Rose Shaboka.
Dah! Umeniharibia kabisa mood yangu! Nilitegemea utaweka picha ya peke yake! 😫View attachment 3205597
Akiwa na mumewe
Babu ushazeeka haya mambo tuachie vijana.Dah! Umeniharibia kabisa mood yangu! Nilitegemea utaweka picha ya peke yake! 😫
Punguza hisia wewe... jinsia gani kwanza?Mimi Christina ananikoshaga
Mimi nataka ushirika na wewe
Ewee Roho....
Mimi nataka ushirika na wewe
Roho....
Mimi nataka ushirika na wewe....
Ewe Roho Mimi nataka ushirika na wewe
Roho....
SECRETARY BIRD