lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay. Kama utakuwa Dar ntakukaribisha xmass uje kulia nyumbani.whatsapp sipo kaka simu nilipoteza, ila kuanzia 24 ntakuwa likizo.. lazima nikutafute kaka maana kuna bonge la issue ntakujulisha
Mbona hizo mbege zinatia kinyaa?
mimi Nipo MashatiNiko hapa keni mengeni mjini (Rombo) nakula kitimoto choma yangu nasalimiwa kila saa na ishirini langu lishakwenda kwa kuombwa buku na jero jero... huku kutamu jamani
Mbosho ktmoto[emoji4]Tangu niwepo moshi hii ni mara ya kwanza watu wa huku hawajakuja kabisaa! siyo kawaida tarehe hzi ukose foleni kiaina maeneo anzia YMCA...nakuendelea! safari hii kweli mmebanwaa!....ila mmesaidia sana maana huwa mnakuja na karibu kila kitu cha kuazima hasa magari!
1.mnanakunywa pombe sana
2.ajali haziishi
3.magari yanaibiwa sana tu
4.wake za watu wanaliwa mno
5.mkiondoka mnaacha madeni mengi mno
Sasa ni wakati wa KULA SIKUKUU BILA umati lukuki wa watu!
January Ada,madeni hatutaki!...KARIBUNI KILIMANJARO,KARIBUNI MTAKUJA Kwaajili ya "mnyama"
Karibuni Rau pub kwa mbuzi
Karibuni Mkulima kwa ng'ombe
Karibuni darslaam street kwa mbege!
Karibuni Keys hotel kwa kuku kienyeji
Karibuni Black dimond kwa burudani bila kusahau Malindi kwa vinywaji bariiidii kupoza koo na kupunguza stress! babies aina zoote!....
tapikaMbona hizo mbege zinatia kinyaa?
kumbe ni majirani,nipo hapa tellaMauwa
tella ya wapi?kumbe ni majirani,nipo hapa tella
Nakuja apo badaekumbe ni majirani,nipo hapa tella
Ok, nyie ambao sio wapiga dili mme-gain nn baada ya sisikudhibitiwa. . ? ?Mkuu naskia nyie ndo wapiga dili wenyewe mwaka huu mmedhibitiwa na Kufuli hakuna kula ndafu na Kitimoto ni mwendo wa sukuma wiki tu