Umejua jee wana vibamia, huwa wanakupumuliaga ninimna nini cha ajabu wazee wa vibamia nyie
Aisee meku...ukiweza tukutane umbwe kule juu kabisa kule onana...Nahisi hii JF 1/3 wamejaa wachagga.
Hivi ni wapi ambapo wachagga sio wengi???
Hahahaah
Sitaki matusi mimi.
Kiiboshoo mojaa hiyoooo!!
Hoi Mana Mwele Chamecha,OLD MOSHI hapa nawakilisha. May Ruwa bless us all.
Kuna sehemu inaitwa TOROKA UJE mitaa ya KiborlonyMliopo Moshi,kuna pahala gani pazuri pa kupiga Kiti Moto na Wari?
Nakuja na ndugu zangu,maeneo ya Moshi Mjini!
Palipo Tulia!
Kwa kipanga pale majengo siku hizi pako waZi?
Poa poa karibuntakuja mkosangana primary hapo nikifika.
NashichaaShimboni shafo
Nenda Kenyatta Street kuna Bar inaitwa Mbosho...kitimoto safi kabisa. Ya kuchoma na ya roast. Thank me laterMliopo Moshi,kuna pahala gani pazuri pa kupiga Kiti Moto na Wari?
Nakuja na ndugu zangu,maeneo ya Moshi Mjini!
Palipo Tulia!
Kwa kipanga pale majengo siku hizi pako waZi?
Mbosho napasoma saana, umenikumbusha mbali sana ila nipo Rombo kwa sasaNenda Kenyatta Street kuna Bar inaitwa Mbosho...kitimoto safi kabisa. Ya kuchoma na ya roast. Thank me later
Hahaha ngoja nifanye hivo mkuuHiyo avatar hadi nimekusahau. Fanya mchakato urudishe ile avatar yako. Ndo ID yako.
Unajipa promo nshaka wa Kenyi.Hawa watu nawapenda sana natamani kuoa uko one day watu wenye kupenda maendeleo they are actually financial displined
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]Kinu kya mau warimu wakusanye
Sawa mnamaa, vip huko mtandao unakamataa vzr?Aisee meku...ukiweza tukutane umbwe kule juu kabisa kule onana...
Whaat????? [emoji86] [emoji15]mna nini cha ajabu wazee wa vibamia nyie
endeleeni kulea watoto sio wenu .mnapeleka damu za watu moshi si mpeleke wenu?
Sawa munamaa, karibuu saaYa manushi ya sinde mmbe, nkai Arusa mbee
Kunuu Umbwee Arawaahahaha meku kyoso ipi tukaribie kanyi
Karibu sana mkuu, Nkwarungo sehemu gani?Muda WA kwenda machame nkwarungo umefika.