Yeah Platozoom 200%, ndo maana nikauliza hayo ya mbege cos sielewi.
Halafu acha kupotea. 🙂
Sijapotea, nilikuwa namfanyia counselling Hillary!! Ilikuwa kazi kubwa.
Kesho nampelekea michembe kutoka Busega!!
aikambe, yethuuu, hiyo hela ya kupoteza mgombani si afadhali mngeenda kufufua bank yenu ya wachaga aka cr..b aisee maana inakufa atii ilikuwa inategemea mihela ya serikali atiii
Teh nisamehe tu
PouwaMamboo
Huyo atoto bora usimkaribishe tuAsante my,..niwakaribishe Heaven Sent na atoto
Karibuni Xmas wapenzi. Kuna ng'ombe, mbege, ndisi, na bila kusahau ugali for a sukuma touch. 😀
Nipo kwa Clara sasa hivi..ila ndo najiandaa kusepaAlready at Marangu, anybody here????😛😛😛
Achana na huyo Kite warumu...kwa uuzaji wqko wa mbunye labda ya punda ndo utasikia at least inakaribia kugusa.
Mnyakyusa katika ubora wake.
Leo hamtaki ugali!! Hiyo miili iliyojazia na kukomaa imetoka wapi?
Elyo tondo lya warumu kite warumuAchana na huyo Kite warumu...
Huyo kite warumu ni wa kumpuuza...Whaat????? [emoji86] [emoji15]
Nitakuwa hapo Sembeti mkuu..Karibu Marangu Mamba kutakuwa na mbege yakutosha.
Tena hapo kwenye manya ndo ataharibu... Hebu mwambie ulikua unamtania ili asije banaTehe, kwa nini? Yeye nasikia ndo mtaaalmu wa kuchoma nyama.
Ibada ya usiku ya Xmas naenda hapo Usharika wa Ngaruma na misa ya Kichagga ya Saa moja lazima niudhurie pia..
Inaleta raha pale mnatoka ibada ya mkesha mkirudi home mnakuta mbege imeshachanganywa inapumua tartiiib...