Christmas in Damascus, Syria once a Christian Countr na Umeme upo!

Christmas in Damascus, Syria once a Christian Countr na Umeme upo!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
kabla ya uvamizi nchi ya Syria kama zilivyokuwa nchi nyingi za kiislamu leo hii kama vile Iraki, Uturuki na nyinginezo zilikuwa Christian majority societies, kila kitu kilibadilika baada ya Uislamu kuingia, Syria na mji wake wa Damascus hata umetajwa kwenye Biblia.

leo hii Damascus inasherehekea siku ya kuzaliwa Mwokozi aliyefia msalabani ili tukombolewe, na umeme unawaka ingawaje nchi ipo vitani na hata kuna jangwa …

1703136505726.jpeg


1703136558042.jpeg


1703136591057.jpeg




View: https://m.youtube.com/watch?v=Lsxa8HGCPCQ&embeds_referring_euri=https%3A%2F%2Fexxpress.at%2F&source_ve_path=Mjg2NjY&feature=emb_logo
 
Hizo ni hadith tu nyie hakuna ukweli wowote.
Jielimishe uache kutoa kauli za kizembe sababu ya ujinga.

"Syria was Christian from the time of Christ until the Byzantine Empire was conquered in the 7th Century by the Muslim Rashidun Army.

Iran was a Zoroastrian country for many centuries until conquered by Umar in the 7th Century. The Zoroastrian Sassanid Empire then fell to Islam.

Afghanistan has had a mixed history. When it was part of the Achaemenid Empire, there were many Zoroastrians. As part of the Indian Mauryan Empire there were some Hindus but also many Buddhists. Islam arrived in Afghanistan in 7th Century under the Ummayads".
 
Waloivuruga Syria kuanzia 2011 ni mabeberu wa kieneo Saudia, Qatar na jirani yake Uturuki wakisaidiwa na kubwa lao Marekani.
kabla ya uvamizi nchi ya Syria kama zilivyokuwa nchi nyingi za kiislamu leo hii kama vile Iraki, Uturuki na nyinginezo zilikuwa Christian majority societies, kila kitu kilibadilika baada ya Uislamu kuingia, Syria na mji wake wa Damascus hata umetajwa kwenye Biblia.

leo hii Damascus inasherehekea siku ya kuzaliwa Mwokozi aliyefia msalabani ili tukombolewe, na umeme unawaka ingawaje nchi ipo vitani na hata kuna jangwa …

View attachment 2848778

View attachment 2848779

View attachment 2848780



View: https://m.youtube.com/watch?v=Lsxa8HGCPCQ&embeds_referring_euri=https%3A%2F%2Fexxpress.at%2F&source_ve_path=Mjg2NjY&feature=emb_logo

Ga
 
Alafu wazungu wamejipendelea sana katika hadith zao, alafu wakatubagua sisi, waafrika katika hadith zao, alafu na sisi, waafrika tukashindwa kujitambua, maskini na huwezi kukuta mzungu anaiga kitu kutoka afrika. AMKA AFRIKA LEO.
 
Alafu wazungu wamejipendelea sana katika hadith zao, alafu wakatubagua sisi, waafrika katika hadith zao, alafu na sisi, waafrika tukashindwa kujitambua, maskini na huwezi kukuta mzungu anaiga kitu kutoka afrika. AMKA AFRIKA LEO.


ina uhusiano gani na uzungu ? wakati Syria au Uturuki ni Christian societies Ulaya waikuwa Wapagani hata Ukristu ulikuwa haujaingia bado …
 
Eti maajabu yakifanywa na mwaafrika ni uchawi, yakifanywa na mzungu yaabudiwe ni upumbafu sana huu.
 
Eti maajabu yakifanywa na mwaafrika ni uchawi, yakifanywa na mzungu yaabudiwe ni upumbafu sana huu.
 
Hata kabla ya Ukristu kulikuwa na Dini nyingine Mashariki ya kati kama vile Zoroastranism ambayo Uyahudi na Ukristo Uislamu umeiga Umoja wa Mungu.
 
Back
Top Bottom