Christmas 🎄 Love 💖Byte 💋

Christmas 🎄 Love 💖Byte 💋

Fundisha hivi vitu maajuza wa JF hawako romantic kabisa wachachuuu
 
Fundisha hivi vitu maajuza wa JF hawako romantic kabisa wachachuuu

Acha nikamatie fursa nnavyopenda pesa, kila mwanafunzi ntakuwa namchaji TZS elf 50 tuu kwa mwezi atakuwa amefuzu kuwa romantic kwa babe wake.

Aahahahahaaa looh.
 
Habariza kuamka,

Natumai nyote hamjambo, ule msimu wa maraha umewadia.

Kasie Mahaba nalipelekesha gurudumu la Mahaba mpaka mahaba yaseme imetosha.

Niko zangu kwenye kochi nimevaa kiblauzi bila sidiria na kikaptula matirio ya T-shirt, nimejikunyata joto kali kiasi upepo mtulivu kwa mbali hewa safii nasoma makala flani hivii.

Kumbe bana, macho yangu yanarembua vile nasoma ila mie sijajua kama narembua. Basi mtu huyoo akatoka kaenda jikoni karudi amekaa pembeni yangu na kibakuli chenye matunda ya mahaba [emoji39][emoji39]

Nilijikuta makala naiweka pembeni nikawa Kama kinda la ndege, nalishwa matunda yale huku naramba kila kidole kilochosindikiza tunda.

View attachment 1648792

Kiwi [emoji1650] cherry [emoji523] and strawberry [emoji526] [emoji39].

View attachment 1648793

Nilibeta kijiko cha Masega ya asali yakanimwagikia mwilini, ndo yalichangia love byte...[emoji12]

Baada ya kibakuli kuisha nilitafunwaje aka fundi wa Love Byte tatoo haioni ndani.

Acha tukaoge tulale, tukiamka ntaendelea kusoma makala yangu hadi iishe ndo ntakubali kulishwa matunda.

Kasie Platinumz Matata.
Wallah bibi una matata kweny mahaba.
 
Yaani picha imeungua ni giza tupu, miguu ilikuwa inachunga ng’ombe imebaki milonjo tuu[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Habariza kuamka,

Natumai nyote hamjambo, ule msimu wa maraha umewadia.

Kasie Mahaba nalipelekesha gurudumu la Mahaba mpaka mahaba yaseme imetosha.

Niko zangu kwenye kochi nimevaa kiblauzi bila sidiria na kikaptula matirio ya T-shirt, nimejikunyata joto kali kiasi upepo mtulivu kwa mbali hewa safii nasoma makala flani hivii.

Kumbe bana, macho yangu yanarembua vile nasoma ila mie sijajua kama narembua. Basi mtu huyoo akatoka kaenda jikoni karudi amekaa pembeni yangu na kibakuli chenye matunda ya mahaba 😋😋

Nilijikuta makala naiweka pembeni nikawa Kama kinda la ndege, nalishwa matunda yale huku naramba kila kidole kilochosindikiza tunda.

View attachment 1648792

Kiwi 🥝 cherry 🍒 and strawberry 🍓 😋.

View attachment 1648793

Nilibeta kijiko cha Masega ya asali yakanimwagikia mwilini, ndo yalichangia love byte...😜

Baada ya kibakuli kuisha nilitafunwaje aka fundi wa Love Byte tatoo haioni ndani.

Acha tukaoge tulale, tukiamka ntaendelea kusoma makala yangu hadi iishe ndo ntakubali kulishwa matunda.

Kasie Platinumz Matata.
Ila wewe Dada Ni mkatili Sana.
Uko Kama jini mahaba,linampenda mtu,linamwingia halafu linampa masharti magumu,Kama usivae nguo fulani,usilale kitandani,usinywe maziwa,usiangalie TV na mashart mengine kibao.

Kwa Nini nimeyasema hayo,Ni kwa sababu unapenda kututamanisha Sana kwa makala zako,unatutia nyege,unatusababishia tuingie bafuni peke yet kwenda kupata huduma ya kwanza na ya haraka,tukiomba utam huo nahakika hutoi.
Sasa huo Kama sio ukatili Ni Nini?
Wakati unaelezea hayo mambo yako Mimi Tayari nilikua natengeneza sanamu lako akilini mwangu,na hivi Sasa nimekumbatia mto,nateseka jamani.
For no reason
 
Ila wewe Dada Ni mkatili Sana.
Uko Kama jini mahaba,linampenda mtu,linamwingia halafu linampa masharti magumu,Kama usivae nguo fulani,usilale kitandani,usinywe maziwa,usiangalie TV na mashart mengine kibao.

Kwa Nini nimeyasema hayo,Ni kwa sababu unapenda kututamanisha Sana kwa makala zako,unatutia nyege,unatusababishia tuingie bafuni peke yet kwenda kupata huduma ya kwanza na ya haraka,tukiomba utam huo nahakika hutoi.
Sasa huo Kama sio ukatili Ni Nini?
Wakati unaelezea hayo mambo yako Mimi Tayari nilikua natengeneza sanamu lako akilini mwangu,na hivi Sasa nimekumbatia mto,nateseka jamani.
For no reason

Leevan mdogo wangu ndo dunia ilivyo. Hadaa utakutana nazo nyingi tuu unachotakiwa ni kuwa ngangari na kuchambua kwa umakini wapi uhadaike wapi upite mdomo umekauka kwa udenda kudondoka inakuwa pona yako.

Pole kwa kukuletea uchu kutokana na makala ila Kasie ni Mahaba na penye Mahaba Kasie humkosi, ila Kasie huyu huyu ana wake wa ubani ambaye si mwingine zaidi ya Dadii.

Super man on earth for Kasie, he is my hero and ego. Whenever I talk to him naburudika na kusikia raha tuu.

Sijapataga mwanaume wa kumfananisha nae, najua ana madhaifu yake na huwa ananikwaza ila nimemshiba na amenijaa kila eneo la mwili wangu na kwenye maisha yangu. Nimpenda mno Dadii.

Basi akipita na kusoma hapa bichwa litamvimbaaa 😜, kama namuona anavopenda.... utasikia ananiambia, that’s my girl, come here Kasie 😊.

Ila saa ingine anapata wivu nikiwa nataniana na wanaume hapa JF, namwambia usihofu funguo zote za vitufe vya Mahaba ya Kasie unazo, am safe.

Looh, ina nilivyo na maneno mengi... nisamehe Leevan maana nikianza kuongea huwa sijui kufupisha matokeo yake naweza jikuta naanza kusimulia naniliu buree 🤪🤪🤪

Heri ya mwaka mpya.
 
Back
Top Bottom