Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni shingo mkuuSipati picha hicho kikaptura,mguu upo lakini
Wallah bibi una matata kweny mahaba.Habariza kuamka,
Natumai nyote hamjambo, ule msimu wa maraha umewadia.
Kasie Mahaba nalipelekesha gurudumu la Mahaba mpaka mahaba yaseme imetosha.
Niko zangu kwenye kochi nimevaa kiblauzi bila sidiria na kikaptula matirio ya T-shirt, nimejikunyata joto kali kiasi upepo mtulivu kwa mbali hewa safii nasoma makala flani hivii.
Kumbe bana, macho yangu yanarembua vile nasoma ila mie sijajua kama narembua. Basi mtu huyoo akatoka kaenda jikoni karudi amekaa pembeni yangu na kibakuli chenye matunda ya mahaba [emoji39][emoji39]
Nilijikuta makala naiweka pembeni nikawa Kama kinda la ndege, nalishwa matunda yale huku naramba kila kidole kilochosindikiza tunda.
View attachment 1648792
Kiwi [emoji1650] cherry [emoji523] and strawberry [emoji526] [emoji39].
View attachment 1648793
Nilibeta kijiko cha Masega ya asali yakanimwagikia mwilini, ndo yalichangia love byte...[emoji12]
Baada ya kibakuli kuisha nilitafunwaje aka fundi wa Love Byte tatoo haioni ndani.
Acha tukaoge tulale, tukiamka ntaendelea kusoma makala yangu hadi iishe ndo ntakubali kulishwa matunda.
Kasie Platinumz Matata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahYaani picha imeungua ni giza tupu, miguu ilikuwa inachunga ng’ombe imebaki milonjo tuu[emoji28][emoji28]
Ila wewe Dada Ni mkatili Sana.Habariza kuamka,
Natumai nyote hamjambo, ule msimu wa maraha umewadia.
Kasie Mahaba nalipelekesha gurudumu la Mahaba mpaka mahaba yaseme imetosha.
Niko zangu kwenye kochi nimevaa kiblauzi bila sidiria na kikaptula matirio ya T-shirt, nimejikunyata joto kali kiasi upepo mtulivu kwa mbali hewa safii nasoma makala flani hivii.
Kumbe bana, macho yangu yanarembua vile nasoma ila mie sijajua kama narembua. Basi mtu huyoo akatoka kaenda jikoni karudi amekaa pembeni yangu na kibakuli chenye matunda ya mahaba 😋😋
Nilijikuta makala naiweka pembeni nikawa Kama kinda la ndege, nalishwa matunda yale huku naramba kila kidole kilochosindikiza tunda.
View attachment 1648792
Kiwi 🥝 cherry 🍒 and strawberry 🍓 😋.
View attachment 1648793
Nilibeta kijiko cha Masega ya asali yakanimwagikia mwilini, ndo yalichangia love byte...😜
Baada ya kibakuli kuisha nilitafunwaje aka fundi wa Love Byte tatoo haioni ndani.
Acha tukaoge tulale, tukiamka ntaendelea kusoma makala yangu hadi iishe ndo ntakubali kulishwa matunda.
Kasie Platinumz Matata.
Ila wewe Dada Ni mkatili Sana.
Uko Kama jini mahaba,linampenda mtu,linamwingia halafu linampa masharti magumu,Kama usivae nguo fulani,usilale kitandani,usinywe maziwa,usiangalie TV na mashart mengine kibao.
Kwa Nini nimeyasema hayo,Ni kwa sababu unapenda kututamanisha Sana kwa makala zako,unatutia nyege,unatusababishia tuingie bafuni peke yet kwenda kupata huduma ya kwanza na ya haraka,tukiomba utam huo nahakika hutoi.
Sasa huo Kama sio ukatili Ni Nini?
Wakati unaelezea hayo mambo yako Mimi Tayari nilikua natengeneza sanamu lako akilini mwangu,na hivi Sasa nimekumbatia mto,nateseka jamani.
For no reason