luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Hahaha unachekesha, Kilimanjaro 90% Ni makazi bora na ya kisasa Hakuna mkoa wowote tz unaofikia ubora wa makaz mkoa wa KilimanjaroKumbe kina luambo makiadi wanalala kwenye mapagale?
Aliyekudanganya ni nani kwamba tunaenda mara moja? Na unampangia mtu mara za kwenda kwake? Ni lazima kwenda kila siku? Nikuambie tu kwamba?? Tunaenda kwa sababu maalumu. December ndo finale. Aliyejenga wala haongei kwa uoga hiviNilishajenga lakini naenda mra tatu mpaka nne kwa mwaka. Sasa wachagga mara moja tu kwa mwaka sasa hiyo ni akili au matope ?
Hahahaha unachekesha boss,hujui kuwa ndege za kwenda Kilimanjaro za watalii Ni 30% na 70% Ni civil aviations? Nenda pale Kia uone Kama watalii Ni wengi au la,watalii wengi wanakodi private jet, Kilimanjaro Wana ubunifu mwingi ndio maana Ni mkoa mdogo lakini unaizd kagera kubwa kwa kila kituWachukuru watalii na huo mlima vinginevyo KLM ingekuwa kigoma Tu.
Hiv bk kuna nini mpaka abiria wawe wengi hivi.
Jibu ni kwamba kuna wahayaView attachment 1660468
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Ni kawaida yakeBwana mdogo unafanya sana repeatition ya picha...
We nawe umetikea wapi[emoji23][emoji23][emoji23] mbona kolabo sasa. Unahusikaje mkuu? Tulia bwana. Nyie vibarua bora sana kwenye mashamba. Mnapiga jembe kama hamna akili nzuriNani kakudanganya ni lini uliwaona kabila kuu wakienda kuomba msaada Kilimanjaro ? Badala yake wachagga ndo kila siku kuja kanda kuu kutafuta maisha na mabinti wa kichagga kufanya kila njia ili waolewe na kabila kuu. Usicheze na Sukumaland wewe.
Kawaida yake[emoji23]Bwana mdogo unafanya sana repeatition ya picha...
Ndondi zimehama kutoka chagga vs haya ,zimehamia kwa Chagga vs msukuma.?mwaka huu kazi tunayo WatanzaniaNani kakudanganya ni lini uliwaona kabila kuu wakienda kuomba msaada Kilimanjaro ? Badala yake wachagga ndo kila siku kuja kanda kuu kutafuta maisha na mabinti wa kichagga kufanya kila njia ili waolewe na kabila kuu. Usicheze na Sukumaland wewe.
Labda tu niwele in simple way. Mchaga yuko kila mahali. Na napenda ethic yao ya upambanaji. Wazungu wanasema kama fursa haitokei.. tengeneza hiyo fursa.Nani kakudanganya ni lini uliwaona kabila kuu wakienda kuomba msaada Kilimanjaro ? Badala yake wachagga ndo kila siku kuja kanda kuu kutafuta maisha na mabinti wa kichagga kufanya kila njia ili waolewe na kabila kuu. Usicheze na Sukumaland wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kaibukia wapiNdondi zimehama kutoka chagga vs haya ,zimehamia kwa Chagga vs msukuma.?mwaka huu kazi tunayo Watanzania
Aiseee kama hukai moshi wagen wanapanda sana tu. Na wanakuja. Tofauti si wengi sana kama kipindi cha mwanzoniKuna mtalii gani saiv kwa korona hii?
Shangaa wewe... siye twawezana wenyewe kwa wenyeweLabda tu niwele in simple way. Mchaga yuko kila mahali. Na napenda ethic yao ya upambanaji. Wazungu wanasema kama fursa haitokei.. tengeneza hiyo fursa.
Ndio maana wamesambaa kila mahali kusaka mapene.. si watu wavivu. Ndio maana wamesambaa
Kuhusu wanawake wa kichaga kutaka kuolewa na wasukuma that is false. Hakuna data or statistics inayo support allegation zako.
Kakimbia uziNjia ya muongo huwa Ni fupi mkuu
Bukoba Hali ipoje?Mwaka huu niliamua kufanya tour trip huko Kilimanjaro ili kujifunza na kujionea shamrashamra za Wachaga wakisheherekea sikukuu ya Christmas.
Mpaka sasa bado nipo Uchagani.
Nimefanikiwa kufika maeneo ya Rombo, Mwika, Marangu, Old Moshi, Kibosho na Machame. Sijafanikiwa kufika maeneo ya Kirua Vunjo na Uru. Kuna mambo mazuri sana na mabaya machache niliweza kuyaona, kwa mada hii leo hapa sitayazungumzia mabaya wala mazuri (nitakuja na mada yake baadaye nikikamilisha ziara yangu), bali nitazungumzia baadhi ya mambo yaliyokuzwa kuliko uhalisia wake.
1. Sio kweli kuwa karibu kila Mchaga hurejea kwao kipindi hiki cha Kristmas. Ukweli ni kwamba idadi ya Wachaga wanaorejea makwao kipindi hiki huenda haifiki hata robo katika Miji (namaanisha Boma la Ukoo lenye muunganiko wa familia kadhaa zenye kushare wazazi) niliyoweza kuipitia, zaidi ya 80% ya wauhusika hawakurudi kwao. Kuna maboma kadhaa yalikuwa yamefungwa kabisa, hakuna aliyerejea kabisa!
2. Sio kweli kuwa kila jamii ya Kichaga kipindi hiki huweza kusheherekea Christmass kwa shamrashamra. Nimeweza kukutana na familia za Wachaga Waislamu (hasa maeneo ya Machame na Kibosho), jamii zingine maskini sana na familia nyingi zisizoeleweka nk, hao hawana muda wowote na sherehe za Krismasi. Wako busy na maisha yao mengine.
3. Misafara mingi ya magari binafsi yaliyokuwa yakielekea uchagani yalikuwa ni magari ya familia chache zenye uwezo mkubwa kifedha au maisha ya mbwembwe. Kifupi sana, magari yale huenda yanaakisi 10% tu ya familia za Kichaga. Wengi wa wachaga wamekuja kula sikukuu kwa kutumia usafiri wa umma bila kujali kama wanamiliki magari mijini au hawana kabisa magari.
4. Sehemu kubwa ya miji (maboma) zimejengwa kwa nyumba za kawaida kabisa na nyingine ziko kizamani japokuwa zinaonekana kutunzwa vyema. Zaidi ya 90% sio nyumba za gharama kubwa au kisasa. Pia niliweza kukutana na nyumba duni au mapagala yanayoonekana kutelekezwa lakini nikakuta kuna watu wanakaa!
Hahaha et sukumaland,Sisi wachaga tumewekeza Tanzania nzima,sio tu tz hata duniani hatujafungia akili zetu kwenye kibuyu kama nyie wachunga mbuzi ndio maana mnakuwa washamba kwasababu hamtembeiNani kakudanganya ni lini uliwaona kabila kuu wakienda kuomba msaada Kilimanjaro ? Badala yake wachagga ndo kila siku kuja kanda kuu kutafuta maisha na mabinti wa kichagga kufanya kila njia ili waolewe na kabila kuu. Usicheze na Sukumaland wewe.
Haiwez tokea kamwe kwenu huko sukumaland kiwango Cha umaskini kipo juu Sana,sis tunajenga tangu kabla hata ya UhuruSasa hivivtunajenga kuliko hao wa Kilimanjaro
Hahahaha nimecheka Hadi nimemwaga bia yangu[emoji1][emoji1][emoji1]We nawe umetikea wapi[emoji23][emoji23][emoji23] mbona kolabo sasa. Unahusikaje mkuu? Tulia bwana. Nyie vibarua bora sana kwenye mashamba. Mnapiga jembe kama hamna akili nzuri
Aliyekudanganya ni nani kwamba tunaenda mara moja? Na unampangia mtu mara za kwenda kwake? Ni lazima kwenda kila siku? Nikuambie tu kwamba?? Tunaenda kwa sababu maalumu. December ndo finale. Aliyejenga wala haongei kwa uoga hivi
We nawe umetikea wapi[emoji23][emoji23][emoji23] mbona kolabo sasa. Unahusikaje mkuu? Tulia bwana. Nyie vibarua bora sana kwenye mashamba. Mnapiga jembe kama hamna akili nzuri
Ndondi zimehama kutoka chagga vs haya ,zimehamia kwa Chagga vs msukuma.?mwaka huu kazi tunayo Watanzania