Christopher ole- Sendeka kwa Tarifa yako wawakilishi kutoka Zanzibar sio majunya wa ulimwengu wa

Christopher ole- Sendeka kwa Tarifa yako wawakilishi kutoka Zanzibar sio majunya wa ulimwengu wa

Sonara

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2008
Posts
726
Reaction score
70
Nimechoka kustahamili na kauli zako Christopher ole -Sendeka na kikundi chako chenye mtizamo kama wako hivi karibuni uli tamka na kusema Zanzibari ni lazima tu wa Restrain pamoja na huo Uisilamu wao ,nimeleta hii hoja kuwaonesha jinsi ulivyokuwa kinyonga juzi hapa ndani ya Bunge lakatiba wakati wa kutowa hoja juu ya nyaraka ukajitia kufoka eti waraka wa Mungano usifike pale ,kwa maaana hiyo unaelewa fika raja nini kilichomo ndani yake na itakapofika mahali wawakilishi kutoka Zanzibar wakauona unahisi ndoto yako itashindikana ile ya Restrain wazanzibari na Uisilamu wao na mengineyo
 
Nimechoka kustahamili na kauli zako Christopher ole -Sendeka na kikundi chako chenye mtizamo kama wako hivi karibuni uli tamka na kusema Zanzibari ni lazima tu wa Restrain pamoja na huo Uisilamu wao ,nimeleta hii hoja kuwaonesha jinsi ulivyokuwa kinyonga juzi hapa ndani ya Bunge lakatiba wakati wa kutowa hoja juu ya nyaraka ukajitia kufoka eti waraka wa Mungano usifike pale ,kwa maaana hiyo unaelewa fika raja nini kilichomo ndani yake na itakapofika mahali wawakilishi kutoka Zanzibar wakauona unahisi ndoto yako itashindikana ile ya Restrain wazanzibari na Uisilamu wao na mengineyo[/QUOTE

NAPATA KICHEFUCHEFU SANA NINAPOONA MWANASIASA ANAONGEA HABARI YA DINI KUHALALISHA HOJA YAKE.
 
Nimechoka kustahamili na kauli zako Christopher ole -Sendeka na kikundi chako chenye mtizamo kama wako hivi karibuni uli tamka na kusema Zanzibari ni lazima tu wa Restrain pamoja na huo Uisilamu wao ,nimeleta hii hoja kuwaonesha jinsi ulivyokuwa kinyonga juzi hapa ndani ya Bunge lakatiba wakati wa kutowa hoja juu ya nyaraka ukajitia kufoka eti waraka wa Mungano usifike pale ,kwa maaana hiyo unaelewa fika raja nini kilichomo ndani yake na itakapofika mahali wawakilishi kutoka Zanzibar wakauona unahisi ndoto yako itashindikana ile ya Restrain wazanzibari na Uisilamu wao na mengineyo
mimi nilimsikia kutoka mwanzo mpaka mwisho hakusema jambo lolote linalohusiana na udini, alichosema ni kwamba waraka ule ni nyeti hauwezi kutolewa bungeni, baada ya maelezo hayo mwanasheria mkuu wa SMZ akajibu kuwa waraka ule ni wa umma na kwamba mtu yeyote hata ambaye siye mjumbe wa bunge la katiba anaweza kuupata akiuhitaji. kwa hiyo ndugu yangu sonara hata kama humpendi mtu acha kusema uongo.
 
Jamani wekeni cv za chistopher ole-sendeka tuzijue kwanza tusije muhukumu kwa kumuonea bure
 
nimechoka kustahamili na kauli zako christopher ole -sendeka na kikundi chako chenye mtizamo kama wako hivi karibuni uli tamka na kusema zanzibari ni lazima tu wa restrain pamoja na huo uisilamu wao ,nimeleta hii hoja kuwaonesha jinsi ulivyokuwa kinyonga juzi hapa ndani ya bunge lakatiba wakati wa kutowa hoja juu ya nyaraka ukajitia kufoka eti waraka wa mungano usifike pale ,kwa maaana hiyo unaelewa fika raja nini kilichomo ndani yake na itakapofika mahali wawakilishi kutoka zanzibar wakauona unahisi ndoto yako itashindikana ile ya restrain wazanzibari na uisilamu wao na mengineyo[/quote

napata kichefuchefu sana ninapoona mwanasiasa anaongea habari ya dini kuhalalisha hoja yake.
 
mimi nilimsikia kutoka mwanzo mpaka mwisho hakusema jambo lolote linalohusiana na udini, alichosema ni kwamba waraka ule ni nyeti hauwezi kutolewa bungeni, baada ya maelezo hayo mwanasheria mkuu wa SMZ akajibu kuwa waraka ule ni wa umma na kwamba mtu yeyote hata ambaye siye mjumbe wa bunge la katiba anaweza kuupata akiuhitaji. kwa hiyo ndugu yangu sonara hata kama humpendi mtu acha kusema uongo.

msocrates nimetumia lugha ya kiswahili katika mada yangu na sio swahili kwahiyo nitakacho kuomba soma tena ili ufahamu (uelewe) nimeleza nini amekieleza ndani ya Bunge na nini amekuwa ana preach akiwa nje ya jengo la Bunge
 
Naskia jamaa (Sendeka) alipata zero huko sekondari


Ukiondoa u-domokaya, hana cha ziada
 
Zanzibar mnalialia na muungano c mjitenge mmepewa fursa mtumie ni acheni kubwatuka! uamusho wameachiwa free wakati mwafaka.zbr ni kijiji mkuu
 
Huyo Sendeka anaogopa kivuli chake ,hivi yeyey na wengine wanaipenda CCM kuliko alivyokuwa anaipenda Sokoine ,Kolimba,Malima ,Aboud Jumbe ,Seif Sharifu ? Jipendekezeni kwa CCM tu ,ni hapo mchawi wao atakapodai ng'ombe mwenye miguu miwili.
 
Huyu ole sendeka anajiona yeye ni mtanzania kuliko wenzake. Yeye ndo anajua kuliko wengine, na chake ndo kinapaswa kusikilizwa kuliko cha wengine. Hii sio sawa.
 
christopher we ndo mdin na unataka waislam wasiwe huru
Hivi bado wenye ulemavu wa kaili mpo wengi hivi tanzania?Acha aundezi changia katiba kwa haki n akuwajibika usianze kulia ktk nafsi ya kufanya mabadiliko. Hizi ndizo fikra za wavivu na wajinga wasiojua ch akufanya,wakipewa nafasi huanza visingizio kibao........
 
Nimechoka kustahamili na kauli zako Christopher ole -Sendeka na kikundi chako chenye mtizamo kama wako hivi karibuni uli tamka na kusema Zanzibari ni lazima tu wa Restrain pamoja na huo Uisilamu wao ,nimeleta hii hoja kuwaonesha jinsi ulivyokuwa kinyonga juzi hapa ndani ya Bunge lakatiba wakati wa kutowa hoja juu ya nyaraka ukajitia kufoka eti waraka wa Mungano usifike pale ,kwa maaana hiyo unaelewa fika raja nini kilichomo ndani yake na itakapofika mahali wawakilishi kutoka Zanzibar wakauona unahisi ndoto yako itashindikana ile ya Restrain wazanzibari na Uisilamu wao na mengineyo[/QUOTE

NAPATA KICHEFUCHEFU SANA NINAPOONA MWANASIASA ANAONGEA HABARI YA DINI KUHALALISHA HOJA YAKE.

mimi nilimsikia kutoka mwanzo mpaka mwisho hakusema jambo lolote linalohusiana na udini, alichosema ni kwamba waraka ule ni nyeti hauwezi kutolewa bungeni, baada ya maelezo hayo mwanasheria mkuu wa SMZ akajibu kuwa waraka ule ni wa umma na kwamba mtu yeyote hata ambaye siye mjumbe wa bunge la katiba anaweza kuupata akiuhitaji. kwa hiyo ndugu yangu sonara hata kama humpendi mtu acha kusema uongo.

Hivi bado wenye ulemavu wa kaili mpo wengi hivi tanzania?Acha aundezi changia katiba kwa haki n akuwajibika usianze kulia ktk nafsi ya kufanya mabadiliko. Hizi ndizo fikra za wavivu na wajinga wasiojua ch akufanya,wakipewa nafasi huanza visingizio kibao........

Huyo Sendeka anaogopa kivuli chake ,hivi yeyey na wengine wanaipenda CCM kuliko alivyokuwa anaipenda Sokoine ,Kolimba,Malima ,Aboud Jumbe ,Seif Sharifu ? Jipendekezeni kwa CCM tu ,ni hapo mchawi wao atakapodai ng'ombe mwenye miguu miwili.

Aboud jumbe alitaka kuzua hoja ambazo hazina mashiko akaenda kumtafuta mwanashria wa Ghana aitwae Swanzy , malipo yalikuwa ni wanawake wa kizanzibar , hivyo msifikiri aliwapenda xana
 
Zanzibar huu ni wakati wenu wa kuwa huru. Hata hivyo wale waheshimiwa wanaopata ujiko kupitia uteuzi wa dodoma wanahofu watakosa chakula kama mtakuwa huru
 
Back
Top Bottom