Nicholas JF-Expert Member Joined Mar 7, 2006 Posts 25,260 Reaction score 7,204 Mar 11, 2014 #21 Funge said: Zanzibar huu ni wakati wenu wa kuwa huru. Hata hivyo wale waheshimiwa wanaopata ujiko kupitia uteuzi wa dodoma wanahofu watakosa chakula kama mtakuwa huru Click to expand... zenj wanaweza kuwa huru ktk serikali mbili na wasiwe huru ktk 3,kwani vyovyote vile serikali yao wanayo...
Funge said: Zanzibar huu ni wakati wenu wa kuwa huru. Hata hivyo wale waheshimiwa wanaopata ujiko kupitia uteuzi wa dodoma wanahofu watakosa chakula kama mtakuwa huru Click to expand... zenj wanaweza kuwa huru ktk serikali mbili na wasiwe huru ktk 3,kwani vyovyote vile serikali yao wanayo...
Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,286 Reaction score 4,523 Mar 11, 2014 #22 Janjaweed said: Naskia jamaa (Sendeka) alipata zero huko sekondari Ukiondoa u-domokaya, hana cha ziada Click to expand... Ole Sendeka alikuwa head prefect Old Moshi Secondary Kiongozi wa UKWATA Old Moshi Secondary Alipata Zero Form 6 F masomo yote
Janjaweed said: Naskia jamaa (Sendeka) alipata zero huko sekondari Ukiondoa u-domokaya, hana cha ziada Click to expand... Ole Sendeka alikuwa head prefect Old Moshi Secondary Kiongozi wa UKWATA Old Moshi Secondary Alipata Zero Form 6 F masomo yote