Binamu au limbwata limechujaaa? Manake nasikia vikao vya harusi vilishaanza, mwanaume akawa hajielewi kama kachanganyikiwa Mara aseme anaoa yeye, Mara anaoa ndugu yake...hajielewi...
Nina wasiwasi bibie kakosea masharti, dawa ya kwenye maji ya kuoga kaiweka kwenye chakula...chezea mapenzi ya dawa....
ndo hvyo na mwenyewe akasema ndoa itafungwa tz na huko mamtoni sasa leo ray wa nini?
wanapendezeana johari na ray, chuchu jambazi yule akalee ndoa yake iliyomshinda, kama mume alimshindwa hawara atamuwezea wapi? yani kimekuwa kipole wakat kilikuwa kutwa kinajipendekeza kwa ray
bora chuchu kaonja pepo haya huyo chagula ht uchunha hajapata na ana stress kweli
nifa serious ktk dunia hii omba MUNGU usimose vyote mtoto na ndoa
mmh hayo siyajui..mimi nilikuwa namshangaa sana chuchu, ray anasema hayupo na johari wakat huo huo bado wanafanya kazi na johar na ni ma partner chuchu nae hakufikiria kuwa ni vigumu apo au anachezewa akili zake? maana kila siku lazima ray na johar waonane kikazi na mpaka leo wale ni ma partner , yeye kaachwa johar bado yupo na ray kikazi na hakyamungu wanarudiana wale.
asa johari na chuchu nani mzuri labda..?$!
kwa ule mdomo km bakuli la matonya na unene usio na shepu au ule mkorogo km papai eti?
hivi binamu ray unafkiri anampenda chagulaga???!!!!!
big nooo anamtumia kimaslahi tuu yani johari kwa ray namfananisha na NDALA AU CHUMVI zina umuhimu ila havthaminiki ndo johari sasa kwa ray maana kigosi anawaza kugawana kampuni but in reality mkubali mkatae chagulaga nyamsura hapendwiii
johari mzuri wewe , chuchu ana sura nyembamba kama ruler, miguu imemkomaa kama fito za genge, nyuma sasa kama pasi ya mkaa yani rangi imemsitir sana yule kinyago cha mpapure
ndo chaguo lake ata kama ni mzee
alimchagua mainda tuu johari mwizi km chuchu usimtetee hapa hana wema wowote huyo johari
Mainda aongeze kasi ya maombi limbwata lichujeee....
Ndo wapo wote sasa mwaka wa tisa huu , muwaache tu ndo maana johar alishawahi kusema kabisa kuwa ray hawezi kudumu na chuchu anamjua vizur ray na ataudi tu kwake wala hana papara naye, yani dah na leo kweli kaachwa ndio maana johari alikuwa anamuangalia tu chuchu za mbwa alivyokuwa akijishaua mpk kimeachwa sijui kinaonaje aibu sasa
Huyu mvulana c mwanaume hivi wewe nifah toka lini m2 anajichubua ukamwita w mwanaume,huyo ana harufu y kivulana tena kwa mbali.bongo movie wanaume n wanawake huwezi kuwajua bila kutizama kwa umakini
aahahaa...mainda yupo busy na kanisa hatak bwana, chezeya virus vya kifua kikuu weye
aahahaa...mainda yupo busy na kanisa hatak bwana, chezeya virus vya kifua kikuu weye