warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans amedhihirisha kwamba ana mahaba niue kwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ' Ray ' kwa
kulinadi jina lake hadharani kwa kuvaa t - shirt iliyoandikwa Ray Kigosi
Tukio hilo lilichukua nafasi wikiendi iliyopita kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini lililofanyika katika Uwanja wa Taifa , jijini Dar ambapo mwanadada huyo aliambatana na mashosti zake kushuhudia burudani tofauti ikiwemo mechi ya timu ya Bongo Fleva na Movies anayoichezea mpenzi wake .
Chuchu alivaa t - shirt ya njano ambayo mgongoni ilikuwa imeandikwa Ray Kigosi kitu ambacho hakuwahi kukifanya kabla."Sioni tatizo kujinadi hadharani , atakayemaindi shauri yake , nafanya kitu roho inapenda bwana sijali maneno ya watu hata kidogo, " alifunguka Chuchu.usiku wa matumaini 2014. ..
kulinadi jina lake hadharani kwa kuvaa t - shirt iliyoandikwa Ray Kigosi
Tukio hilo lilichukua nafasi wikiendi iliyopita kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini lililofanyika katika Uwanja wa Taifa , jijini Dar ambapo mwanadada huyo aliambatana na mashosti zake kushuhudia burudani tofauti ikiwemo mechi ya timu ya Bongo Fleva na Movies anayoichezea mpenzi wake .
Chuchu alivaa t - shirt ya njano ambayo mgongoni ilikuwa imeandikwa Ray Kigosi kitu ambacho hakuwahi kukifanya kabla."Sioni tatizo kujinadi hadharani , atakayemaindi shauri yake , nafanya kitu roho inapenda bwana sijali maneno ya watu hata kidogo, " alifunguka Chuchu.usiku wa matumaini 2014. ..