Ndugu, kulingana na maelezo kuhusu matatizo ya huyo jamaa , ni kwamba yupo na hali ngumu sana! Tatizo la msingi ni size kubwa ya 'breasts' wakati yeye ni mme kwa jinsia. Hilo tatizo lipo miongoni mwa watu katika jamii yetu inayotuzunguka. Mara nyingi ni 'hormonal influenced'. Hormones zenyewe ni zile zinazo determine sex differentiation wakati wa ukuaji wa mwanadamu. Kwahiyo at puberty, mme na mke wana different characteristics. Mfano; mme: sauti inakua nzito na kuanza kuota ndevu. mke: sauti nyororo, matiti kuongezeka ukubwa na kuanza kupata 'menses' yaani menstruation cycle. Kwahiyo hormonal imbalance inapotokea kwa jinsia yoyote, basi inapelekea mchanganyiko wa hizo tabia kwa jinsia yoyote kulingana na hormone inayohusika. Mfano , kuna wanawake pia wana ndevu kama wanaume na pia kuna wanawake wana 'physique' kama ya kiume - kumbuka yule dada wa south Africa; Semenya!
Tukimzungumzia jamaa yetu, nadhani tatizo lake ni hormonal imbalance.
Kuhusu kutoa uchafu kwenye njia ya haja kubwa hilo ni kawaida kwa kila binadamu kwani sehemu hiyo imeumbwa kwa ajili ya kutoa kinyesi ambacho mara zote kina harufu mbaya. Mimi binafsi sijawahi kutoa kinyesi chenye harufu kama ' VANILLA au Pafyumu ya isey miyake' . Tabia mojawapo ya kinyesi ni kutoa harufu mbaya. Kama unabisha , leo nenda ukanuse kinyesi chako na utanielewa ninachokizungumza hapa. Abdominal pain au discomfort inahitaji kuchunguzwa kujua tabia zake na kupata underlying cause. Otherwise jamaa anahitaji kuwaona medical doctors for further treatment pamoja na counselling ya kutosha. Huduma ya counselling inapatika Muhimbili department ya Psychiatry. Kuhusu tatizo la maziwa makubwa akamuone gynaecologist.