Wakuu, ni about wiki ya pili now Shemeji/wifi Yenu Chuchu zake zinamuuma sana, yan nikzigusa tu anataka kulia kwa Maumivu, hii ni strange Behaviour since nimezna kuishi nae for more than 2 Months now.
Ushauri please kabla sijampeleka hospital.
Ni Modified SMS nimeipokea hivi Punde kutoka kwa Mshikaj wangu Beda
ni wewe bana usimsingizie Beda. yawezekana ni ujauzito mana hiyo ni moja ya dalili.Ni Modified SMS nimeipokea hivi Punde kutoka kwa Mshikaj wangu Beda
Sasa ushaambiwa lyaweza kuwa mimba alafu unauliza tena?!Nimejaribu kum sms comments zenu kwa haraka haraka sana, jamaa alikuwa anafikiri kumpeleka wife wake MEWATA, kuhusu angani Kongosho , alitakiwa aende juzi, kapitisha, May be pregnant as u suggested, but Jamaa anauliza can this be a sign of Pregnant? Lizzy , ni wife wa Jamaa so reckon Kuuza mechi sio la kuuliza hilo
Nimejaribu kum sms comments zenu kwa haraka haraka sana, jamaa alikuwa anafikiri kumpeleka wife wake MEWATA, kuhusu angani Kongosho , alitakiwa aende juzi, kapitisha, May be pregnant as u suggested, but Jamaa anauliza can this be a sign of Pregnant? Lizzy , ni wife wa Jamaa so reckon Kuuza mechi sio la kuuliza hilo
ni wewe bana usimsingizie Beda. yawezekana ni ujauzito mana hiyo ni moja ya dalili.