The conceited
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 440
- 496
upo sahihi kabisaHuyo ni alligator ni mamba wadogo wadogo wanatpatikana sana south america sio wale crocodile wa Africa
Na Huyo jamaa sio chui ni jaguar na yeye anapatika huko huko SA ni very powerful big cat. Ni kazi rahisi tu kumkalisha alligator. Ila sio crocodile
Mr. Lion tu mfalme wa mwitu anamuheshimu crocodile huwezi kumkuta anakatisha anga zake.
HahahahHuyo ni alligator ni mamba wadogo wadogo wanatpatikana sana south america sio wale crocodile wa Africa
Na Huyo jamaa sio chui ni jaguar na yeye anapatika huko huko SA ni very powerful big cat. Ni kazi rahisi tu kumkalisha alligator. Ila sio crocodile
Mr. Lion tu mfalme wa mwitu anamuheshimu crocodile huwezi kumkuta anakatisha anga zake.
Ah!atakuwa gulugujaView attachment 730579mkuu unamuongelea mamba huyu pichani?
Au unamsemea mjusi guluguja???
Ahahaaa kuna watu mna matatizo sana kwahiyo wanaume wa dar wanaogopa sana nyokaKuna Jaguar wa America kusini huwa wanakula mamba kama kawaida, haijalishi mamba yupo majini au nchi kavu, mamba akiwaona tu huanza kutimua mbio kama wanaume wa dar wanavyokimbia wakimwona nyoka