Tangu enzi ni yeye habadiliki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]pdidy nilimiss muandiko wako tu mimi [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nilitaka nimuulize kitu ila baada ya kusoma comment yako nikaamua kupotezea.pdidy nilimiss muandiko wako tu mimi 🤣 🤣 🤣 🤣
Hakika aisee😀😀Tangu enzi ni yeye habadiliki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini ukiua chui ndugu hama nchiKuna sheria zinaongoza ulipaji wa fidia kwa mambo kama haya.Ukitaka uchoke zaidi fuatilia nini kinafanyika baada ya tembo kuvamia mashamba ya wakulima. Au ulizia binadamu anapouawa na hao wanyama inakuwaje kwenye fidia
kama hujajifunza tz mnyama pori ana thamani kubwa kuliko binadamu tizama hata yanayotokea barabarani unaweza gonga mtu mkamalizana juu kwa juu na serikali isifuatilie gonga tembo sasa utaiona shughuli. kiufupi wa tz tunathamani ndogo kuliko hata katwiga ka pale mikumi.Mnaowekeza mifugo ukoo maeneo ya mbugani. Vijijini mjipange bora mnunue mbwaa muanze kuuzaa
Leo naangalia TV mwananchi kaliwa mbuzi zake na chui mmoja
Serikali wakaja kumkamata wakamrudisha alipotoroka
Mwenyee mbuzii anaulizwaa anambiwaa 25000 ndioo malipo stahili kila mbuzii jamani angalieni upyaaa hizi sheriaa tusiangalie ndoaa za utotoni tu
Anasemaa amenunua 110,000 kila mbuzi wake wa maziwa
Huyu baba kamaliza muda wakazi kawekaa mafaoo yakee kwenye mifugoo leooo jamani mnamliza hivi.
Kamandaa wa wanyapori angalieni hizi sheria upyaa tutaishiaa kufuga mbwaa Dar na mafao yetu jamani