Chui Mweusi ( Black Panther ) aonekana Kenya

Yes picha ya pili ni photoshop. But the rest are real. Zimechukuliwa usiku na moja ya watafiti.
Chui aina hii ni very rare kuonekana.

Lakin wameweza kupata picha zake..
Na chui wa aina hii ni kweli wapo.
Photoshop at its best. Hiyo picha ya pili ukiangalia kwa umakini hizo nyayo za nyuma anawezaje kutembea huku zote zikiwa zinaonekana unyayo kwa wakati mmoja!? Au alikuwa anaelea bila kugusa ardhi hapo!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hiyo miguu Upo hivyo sababu ni kama anajaribu kuchungulia kitu hapo kushoto hivyo amesimama akijivuta taratibu.
 
Hawawezi kuishi? Huyo ameishije?
Usicho jua ni kwamba huyo chui ni product ya female na male leopards ambao wamebeba genes ambazo zinasababisha melanism kuongezeka kupita kiasi.
Ndio maana wanazaliwa weusi. Huyu ni chui kama chui wengine tofauti ni color tu.
But then again ni adim sana haya mambo kitokea. Ila si kwamba hawapo
Awo Black Panther kwa Africa hawawezi kuishi ni sawa na kumleta Dubu apa Africa, hawezi kuishi.
Wazungu wamewaleta kuna genetics issues, Apo Wazungu wanataka

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa chui wapo na chui mweusi kuzaliwa hutokana na gene mutation that causes an over-production of pigment. It's the opposite of albinism and although the leopard's coat appears black during the day.

So sio kwamba hawapo ila.. wapo ila adimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mkuu. Yaani Chui kasimamia vidole kama Michael Jackson kwenye Beat It!
Kuna popoma mbili zimebisha utafikiri nimetunga. Dah watu weusi tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Aisee mkuu unahoja dhaifu sana. Mbona wataalam wamesha explain hiyo kitu hutokana na nn.
Mbona ni kitu kiko open.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpuuzi wahedi we!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…