Chuki binafsi ya Haji Manara kwa Shaffi Dauda inatokana na nini?

Tanzania tuna wachambuzi wa mpira ila dauda hawezi kua miongoni mwao

Huyu jamaa ukimuuliza leo kwanini man city alifungwa na Leicester atakwambia Leicester walibahatisha

ila ukimwita kocha wa aly ahly ukamuuliza umejiandaa kuifunga simba sc goli ngapi lazima atakushangaa, then atakwambia "mpira hauchezwi mdomoni tunaiheshimu simba na lelote linaweza kutokea"

huyu bogus anayeitwa dauda sijawahi kuelewa anachokifanya katika tasnia ya michezo hapa bongo,

Dauda ni bogus, and once a bogus always a bogus, hivyo sitegemei kama huyu jamaa atakuja kubadilika.
 
Ndio hivyo ndugu yangu yoyote mwenye mapenzi mema na Simba lazima atagundua Manara ni tatizo. Wakina Guadiola sio wajinga wanaposifu uwezo wa wapinzani wao kabla ya mechi. Kwenye ngumi mabondia huwa wanatumia lugha za kuudhi kabla ya pambano ili mpinzani wake apandwe na hasira. Na siku zote ukipigana kwa hasira unapoteza umakini lakini kwenye mpira ni tofauti. Unapomtia hasira mpinzani wako ndio anazidi kuongeza umakini kuhakikisha anakufunga au apate matokeo yoyote positive.
 
Hao simba wenu watakipata cha moto. Waarabu sio wa sport sport bana.

Mungu ibariki AL AHLY
Nawaombea SIMBA watolewe mapema.
Wewe kila ikiletwa habari inayohusu waarabu huwa unajitoa akili kabisa.
 
Si wote Simba?, acha wapambane,hajji leo alikuwa anamchana efm na kitenge........
 
Haji anaongea hadi mambo ya kocha,yaani anaongea kama yupo kijiweni anabishana huku wanakunywa kahawa
 
wachambuzi uchwara hao jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajji anajidharilisha,yaani hajui maana ya neno underdog??? Povu linamtoka bila sababu tu
 
Hao simba wenu watakipata cha moto. Waarabu sio wa sport sport bana.

Mungu ibariki AL AHLY
Nawaombea SIMBA watolewe mapema.
UMeulizwa swali rahisi, unatoa maelezo yasio na kichwa wala miguu, “kivipi mnasema simba ni underdog kwa js soula?”
 
UMeulizwa swali rahisi, unatoa maelezo yasio na kichwa wala miguu, “kivipi mnasema simba ni underdog kwa js soula?”
Kwa sababu wao wamesinya mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania lakini Simba haijasinya mchezaji wa Timu ya Taifa ya Algeria? Nauliza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…