Chuki binafsi ya Haji Manara kwa Shaffi Dauda inatokana na nini?

Kuna watu wanafki sana yaani mtu kakalia kiti mbele ya MIC anasema simba mbovu, hivi anamchango gani na ubovu au uzima wa simba...

Shafi ni kianzi mbatata....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna mkuu, hii issue toka kipindi dauda hata account yake haija hakiwa bado walikuwa na mzozo. Kuna mabifu ya kibiashara lkn kwa hili sio biashara bali ni ugomvi kabisa , sababu sisi watu wa "public relations" tunaweza determine kupitia mwandiko wa mtu kugundua huu ni utani au Lah......lkn ile andika ya Manara , tone yake na Mood inaonesha ni ya chuki. Lkn kosa lipo kwa Manara yy anavyofanya anaona ndio anapatia kazi ya PR ila ukweli anapwaya sana ndio mana hajui hata kuandika "Media release" wala kusecure information kwa kutumia"position paper". Mzee PR anamajukum mengi sana na sio anayofanya Manara coz kwenye organization yeyote baada ya MD na CEO ni PR, huy ni mtu anaye wasiliana na hao ma MD na CEO direct sasa jiulize hayo Manara anafanya lini,? Umesikia pale kwenye page yake akiwajulisha fans wa club kuhusu analysis of GAM(annual general meeting) zaidi ya kelele kwenye social media af yy akijua ndio yupo on right track!!!!! Bongo ujanja ujanja sana kuliko taaluma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dauda ni mchambuzi wa matembele na sio mchambuzi wa soka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Dismas Ten"
 
Serikali gani imeiambia Yanga ifanye uchaguzi?
 
Uchambuzi ndiyo huo.

Aliposema Simba SC ni "andadogi" ndiyo uchambuzi wenyewe.

Tatizo amewakera wakereketwa.
 
Serikali gani imeiambia Yanga ifanye uchaguzi?
mjomba ww inaonekana ni underdog ktk maswala ya sports na kufuatilia habari za michezo ..bac sio case last year wizara ya michezo kupitia baraza la michezo MBT kuwaagiza tff wasimamie uchaguzi wa club ya yanga kama kuna mdau wakukuongezea content atajitokeza lkn itoshe tu kukupa taarifa hiyo
 
Manara ni mropokaji tui hana dressing!! Tambo na kejeli huku mweupe kabisa kichwanj
 
Baraza la michezo ni MBT?

Are you serious?
 
....... Tatizo sio Manara tatizo ni huyo Shafii Dauda anayejifanya kujua kila kitu .. Ujuaji wake wa kujifanya mjuaji umepitiliza na kuwa kero Kwa jamii .. Kukosoa sio dhambi na kukosolewa pia sio mbaya lakini unapokosoa Kwa kuiponda Simba ya Tanzania tena Kwa dharau iliyopitiliza humuudhi Manara Bali unawaudhi wana Simba ambao Manara ni msemaji wake ... Kwanini uchambuzi uwe wa kuponda tu? Chambuzi hata kama Simba ni underdog sasa Dauda anatoa ushauri gani Kwa Simba ifanye nini kupambana na hapo Dauda anaowapa kipaumbele ? ....vinginevyo binafsi naona uchambuzi wa Dauda sio uchambuzi Bali ushabiki wa kishamba uliopitwa na wakati
 
Pamoja ndio Manara ana matatizo yake ,lakini Shaffih ana ule uclouds yaani ukigombana nao watakuandama mpaka basi.Mimi ni shabiki wa Yanga lakini kuna clip ameipost ,ktk mtandao wa insta haileti picha nzuri na hasa kwa Simba ambao wanajiaandaa kusiriki mechi za makundi ya kombe la mabingwa la CAF,kwani anawavunja moyo mashabiki wa Simba na sometimes hata kupunguza hali ya kujiamini kwa wachezaji.Hii picha kama ingepostiwa na mshabiki ni sawa,ila si kwa mwandishi wa habari kama yy anakosea ,tena kawakosea sana Simba.Kama anaugomvi wake binafsi na Manara atafute njia ya kumalizana naye binafsi laikini si kuihusisha club ya Simba.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…