Tetesi: Chuki inaendelezwa - idadi ya wastaafu ambao hawajalipwa pensheni inaongezeka

Tetesi: Chuki inaendelezwa - idadi ya wastaafu ambao hawajalipwa pensheni inaongezeka

Tila-lila2

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
652
Reaction score
1,058
Baada ya Magufuli kumtumbua yule mmama ambaye wakati fulani aliingia kwenye ligi na Bulaya kuhusu kikokotoo aliendelea mbele zaidi na kuivunja ile Ofisi ya yule mmama yaani SSRA na kisha kuamua yeye mwenyewe kusimamia mifuko ya pensheni.

Katika kutekeleza ilo akamchukua Msukuma mwenzake kutoka NSSF na kumfanya kuwa mtendaji Mkuu wa Mfuko huo uku akimpa amri kila siku mambo ya kufanya kwa kuwa huyo jamaa awezi kumkatalia kama yule Sanga alivyokuwa hapendi kuamrishwa kuwa kinyume na Sheria.

Sasa huyu Mkuu wa Mfuko anapata shida kwa sasa kwa sababu Mfuko hauna pesa za kuwalipa wastaafu waliostaafu tangu Mwezi wa sita Mwaka huu. Hivi juzi mkuu wa Mfuko huu alimweleza Mkulu kuwa mfuko hauna ela akamkemea sana km mtoto mdogo na kumwambia nisisikie ukisema uko wapinzania wakasikia.

Kinachendelea ni wastaafu hawa kuteseka tu hamna pensheni na Mkulu na Serikali yake wamegoma kupeleka hela kwenye mfuko. Hapo sasa ndiyo watu wanamkumbuka Sanga ambaye alikuwa hapindishi mambo!
 
Baada ya Magufuli kumtumbua yule mmama ambaye wakati fulani aliingia kwenye ligi na Bulaya kuhusu kikokotoo aliendelea mbele zaidi na kuivunja ile Ofisi ya yule mmama yaani SSRA na kisha kuamua yeye mwenyewe kusimamia mifuko ya pensheni.

Katika kutekeleza ilo akamchukua Msukuma mwenzake kutoka NSSF na kumfanya kuwa mtendaji Mkuu wa Mfuko huo uku akimpa amri kila siku mambo ya kufanya kwa kuwa huyo jamaa awezi kumkatalia kama yule Sanga alivyokuwa hapendi kuamrishwa kuwa kinyume na Sheria.

Sasa huyu Mkuu wa Mfuko anapata shida kwa sasa kwa sababu Mfuko hauna pesa za kuwalipa wastaafu waliostaafu tangu Mwezi wa sita Mwaka huu. Hivi juzi mkuu wa Mfuko huu alimweleza Mkulu kuwa mfuko hauna ela akamkemea sana km mtoto mdogo na kumwambia nisisikie ukisema uko wapinzania wakasikia.

Kinachendelea ni wastaafu hawa kuteseka tu hamna pensheni na Mkulu na Serikali yake wamegoma kupeleka hela kwenye mfuko. Hapo sasa ndiyo watu wanamkumbuka Sanga ambaye alikuwa hapindishi mambo!
Hawa wastaaufu ndio wapenzi wakuu wa ccm, acha wavune walichppanda.
 
Nyie member wapya mmetoka wapi na taarifa za kichochezi nyingi mara Assad kutekwa. Kaja member mpya, now wewe! What the hell?
 
Stroke inamhusu
Mkuu inauma sana kuna mzee namfahamu kastaafu mwezi May mapak leo hajapewa kitu kila akienda NSSF wanampa story tu.Hapa ana madeni kibao mpaka ameanza kuchanganyikiwa.
 
Nyie member wapya mmetoka wapi na taarifa za kichochezi nyingi mara Assad kutekwa. Kaja member mpya, now wewe! What the hell?
Uchochezi wapi we mnufaika na awamu hii? Au unataka tutaje na majina ya wastaafu ambao hawajalipwa? tunawahifadhi tu ili wasitekwe - nyambafu kabisa!
 
Mkuu inauma sana kuna mzee namfahamu kastaafu mwezi May mapak leo hajapewa kitu kila akienda NSSF wanampa story tu.Hapa ana madeni kibao mpaka ameanza kuchanganyikiwa.
Bora NSSF kwa Mfuko mpya PSPF ndiyo balaaa kabisa!
 
Siku wafanyakazi na wasomi wa nchi hii watakapotambua nguvu itokanayo na wingi wao, mafao yao na kodi zao; nchi itakoma kutawaliwa kijima...!!
 
Back
Top Bottom