Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Wanyonge wapo wengi hata Mtu hujui uanzie wapi.Na boss anasema nchi hii ni tajiri na yuko kwa ajili ya wanyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizuri - sijaongelea NSSF nimeongelea Mfuko mpya ambao Mkuu wake ni Mashimba aliyetoka NSSF kwa Erio. Huyo bwana ni Msukuma wa kwao kabisa na Mukulu na ndiye alikuwa anampelekea maneno hadi akina Sanga na na yule mmama wa SSRA wakatumbuliwa.Unaweza kuwa na pointi lakini umechanganya mambo sana,mfuko unao uongelea ni PSSSF au NSSF? Maana usipofafanua kwenye hili,mada yako itakuwa inapotosha sana,Erio ndo DG wa NSSF, na mara ya mwisho nimeulizia Erio sio Musukuma labda kama kabadili kabila hivi karibuni😂😂😂
Nguvu ya Mwanamke!Baba yangu alikaa miaka miwili bila kupata mafao yake. Kwa muda wote huo mama ndio alikuwa anapiga mishe kuhakikisha home panakaa sawa vinginevyo sijui ingekuwaje... Now mzee aliishapata mafao yake na anaishi maisha yake na anaichukia ccm
Sent using Jamii Forums mobile app