Chuki Simba na Yanga

Chuki Simba na Yanga

Ni kwamba haujui mpira au nini?
Barcelona wanawapenda Madrid?
Man u wanawapenda man City?
Arsenal wanawapenda Tottenham?
River plate wanawapenda boca junior?
Inter Milan wanawapenda ac Milan?
Everton wanawapenda Liverpool?
Al ahly wanawapenda zamalek
Wydad wanawapenda raja Casablanca?
USHABIKI NI UCHIZI
Ni lini imetokea viongozi wa madrid wakavaa jezi za Manchester United na kwenda kuwapokea airport wachezaji wa Manchester
Na kuwapa mbinu ya kupambana na Barcelona?

Hizi zinazoendelea hapa kwetu ni chuki na sio utani wa jadi..
 
Ni kwamba haujui mpira au nini?
Barcelona wanawapenda Madrid?
Man u wanawapenda man City?
Arsenal wanawapenda Tottenham?
River plate wanawapenda boca junior?
Inter Milan wanawapenda ac Milan?
Everton wanawapenda Liverpool?
Al ahly wanawapenda zamalek
Wydad wanawapenda raja Casablanca?
USHABIKI NI UCHIZI
Zamalek waliwahi kuandika press release ya pongezi kwa Al Ahl,mashabiki wakachukizwa baadae wakaifuta
 
Unajua maana ya utani wa jadi?
Utani wa jadi umepitiliza kwa sasa ni chuki chuki,na chuki kubwa ipo kwa simba inapambana kwa kila hali Yanga isifikie mafanikio waliyoyapata wao kwenye caf champion league
 
Kwa mfano leo, wewe mwanachi wa Young African unayetamani mnyama afungwe, umekaa chini ukajitafakari kwa makini kwamba ni sahihi unachofanya? Wabongo tuko tayari kushabikia al hilal au mazembe ila sio vya nyumbani. Hujachelewa, anza sasa

Utani ubaki ligi kuu huku kwingine tupeane support
 
Back
Top Bottom