ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Hili jambo la Maofisini kuwa tabia za ajabu ajabu zinanikera sana, kuna ofisi yaani kufanya kazi inakuwa ni ngumu na changamoto kwa sababu ya chuki na fitina za hapa na pale.
Na kitu kibaya utashangaa hata boss anaekuzidi mshahara na cheo anakujengea chuki kubwa dhidi yako.
Huku Maofisini nimeona haifai kuzoeana na watu Wala kuwa na urafiki na mtu maana hiyo ndo silaha watatumia kukuangamiza, huku Maofisini inabidi wafanyakazi wenzako wasijue mambo yako nje ya ofisi, nenda fanya kazi ondoka.
Chuki na stress za maofisini zimeletea watu wengi magonjwa na msongo wa mawazo.
Na kitu kibaya utashangaa hata boss anaekuzidi mshahara na cheo anakujengea chuki kubwa dhidi yako.
Huku Maofisini nimeona haifai kuzoeana na watu Wala kuwa na urafiki na mtu maana hiyo ndo silaha watatumia kukuangamiza, huku Maofisini inabidi wafanyakazi wenzako wasijue mambo yako nje ya ofisi, nenda fanya kazi ondoka.
Chuki na stress za maofisini zimeletea watu wengi magonjwa na msongo wa mawazo.