Chuki, unafiki na uzushi maofisini tiba yake ni nini?

Chuki, unafiki na uzushi maofisini tiba yake ni nini?

Hata huko kwenye nyumba za ibada fitna zipo, kwa wale ambao rizki zao zimefungamana na kuhudumu kwenye maeneo hayo, ambaye unaenda kuabudu tu huwezi ona ila wafanyao kazi ya kuendesha maisha kupitia nyumba za ibada wanajua kuwa fitna zipo humo kama mahala kwengine kokote
I said "Being born again " in churches they many church goers not true worshippers . Your working place must be influenced by the kingdom of God
 
Hakuna tiba kwasababu :–

Kuna wengine wao ni wachapakazi hawategemei majungu,

Kuna wengine wao wavivu wazee wa kuunga unga hao wanategemea majungu na umbea kupeleka kwa boss yaani boss akiwepo wanaondoka kazini saa moja usiku boss akienda kwenye semina wao ndo wanapata uhuru wakienda lunch ndo ntolee,

Halafu kuna wale wakujipendekeza na kusifia kwa boss ili kwenye semina wawe wanakula shavu kazini bongo ni stress tupu.
 
Sijui utauchukuliaje ushauri huu ila ukitaka kufanikiwa fanya hivii;
Hakikisha ukiwa ofisini unatangaza njaa na shida mda wotee yaani wewe ni kulalamika kuwa huna kodi mara mshahara umeisha tarehe 5, ukienda lunch na wenzako hakikisha unalalamika na kujisemesha wakati wa kulipa muhimu hakikisha hakuna mbuzi yeyote hapo ofisini anafahamu kwako kama umejenga na iwapo imelazimika apajue basi wew waeleze kuwa hapo ni kwa shemeji yako.
Hii ni kwa sababu watu wengi maofisini hawapendi kusikia raha zako bali shida zako pekee, so ukiwaeleza shida tu watapata amani mioyoni mwao hivyo kukaa vikao vya kukupuuza.
 
Sijui utauchukuliaje ushauri huu ila ukitaka kufanikiwa fanya hivii;
Hakikisha ukiwa ofisini unatangaza njaa na shida mda wotee yaani wewe ni kulalamika kuwa huna kodi mara mshahara umeisha tarehe 5, ukienda lunch na wenzako hakikisha unalalamika na kujisemesha wakati wa kulipa muhimu hakikisha hakuna mbuzi yeyote hapo ofisini anafahamu kwako kama umejenga na iwapo imelazimika apajue basi wew waeleze kuwa hapo ni kwa shemeji yako.
Hii ni kwa sababu watu wengi maofisini hawapendi kusikia raha zako bali shida zako pekee, so ukiwaeleza shida tu watapata amani mioyoni mwao hivyo kukaa vikao vya kukupuuza.
Wakigundua kwamba hauna njaa ila unalia njaa, chuki itakuwa mara elfu 1, mana watakuwa wanaona unawasanifu ukiwa unalia njaa.
 
Hata huko kwenye nyumba za ibada fitna zipo, kwa wale ambao rizki zao zimefungamana na kuhudumu kwenye maeneo hayo, ambaye unaenda kuabudu tu huwezi ona ila wafanyao kazi ya kuendesha maisha kupitia nyumba za ibada wanajua kuwa fitna zipo humo kama mahala kwengine kokote
Uko sahihi sana, Mimi nalijua hili kwa undani wake, tena RC kunanuka kwani ni kimya kimya! Kama shwari kumbe dhoruba kali sana!!!
 
inaonekana wew ndio una matatizo hapo kazin kwenu, huwez kuona wenzako wana chuki unafki na uzushi halafu wewe uwe perfect, maana yake wew ni mchawi mfitini na unapenda umbea kufuatilia maisha ya watu... Fanyakazi maliza rudi nyumban acha kufuatilia yasiyokuhusu... Ila pole najua tatzo hulipwi vzuri
 
inaonekana wew ndio una matatizo hapo kazin kwenu, huwez kuona wenzako wana chuki unafki na uzushi halafu wewe uwe perfect, maana yake wew ni mchawi mfitini na unapenda umbea kufuatilia maisha ya watu... Fanyakazi maliza rudi nyumban acha kufuatilia yasiyokuhusu... Ila pole najua tatzo hulipwi vzuri
Sipo hivyo unavyosema
 
Hili jambo la Maofisini kuwa tabia za ajabu ajabu zinanikera sana, kuna ofisi yaani kufanya kazi inakuwa ni ngumu na changamoto kwa sababu ya chuki na fitina za hapa na pale.

Na kitu kibaya utashangaa hata boss anaekuzidi mshahara na cheo anakujengea chuki kubwa dhidi yako.

Huku Maofisini nimeona haifai kuzoeana na watu Wala kuwa na urafiki na mtu maana hiyo ndo silaha watatumia kukuangamiza, huku Maofisini inabidi wafanyakazi wenzako wasijue mambo yako nje ya ofisi, nenda fanya kazi ondoka.

Chuki na stress za maofisini zimeletea watu wengi magonjwa na msongo wa mawazo.
Dawa ya matatizo hayo ni kumuomba Mungu akuepushe nao.

Pili unatakiwa kuwa na faili lako binafsi la siri na kuhifadhi kila Jina la wale wanaokuzushia kukuchukia na kukufanyia unafiki.

Tatu andika mambo yao ya kihalifu wanayofanya Kwa Kuandika saa tarehe mwezi siku na Mwaka sehemu gani wametenda ikiwezekana tengeneza mazingira ya wao wafanye makosa bila kujua wanasukumwa wafanye makosa.

Nne lipua makosa yao sehemu hatari ambazo utaonesha na ushahidi ili wachukuliwe hatua Kali *****.Kaa kimya wakiwa wanatoka jasho Kwa matatizo.Kila la heri mhanga.
 
Back
Top Bottom