Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Huo unafik sasaSikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi
Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi
Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?
Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!
Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!
Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!
Fanya kazi km huna akili nzuri!
Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!
Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Maisha bila unafiki hayaendi baba!Huo unafik sasa
Hili nalo ni neno, huenda mama anamtafutiaga wagumbaKwani Tiffah kuna mdogo wake anakuja? Hao wanawake wengine anaomtaftia mwamae hawazai?
Ameshajua udhaifu wa dai ni watoto bac kiburi kimemjaa hatari, saa hizi dai anamrusha mama yake tu roho maana anajua hapendiSikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi
Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi
Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?
Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!
Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!
Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!
Fanya kazi km huna akili nzuri!
Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!
Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Mwisho wa siku yule mama akinyongea tu vyote vinaondoka hvyoo!Ameshajua udhaifu wa dai ni watoto bac kiburi kimemjaa hatari, saa hizi dai anamrusha mama yake tu roho maana anajua hapendi
Mama Diamond ndiye nani?Hivi kwa nn huyu mama anamchukia sana mzazi mwenzie na mwanae(zari) ,naona hali imefikia pabaya mpaka kufikia hatua ya kuongea maneno magumu Kwenye mitandao ya kijamii. tunajua zari Ana mapungufu yake ndio ila sio kwa bifu hilo, anajitahidi kumtafutia mwanae wanawake wengine ili tu waachane na zari, najua kinachomuuma ni Mali za mwanae, anajua zari akizidi kuzaa ndo Mali zitakapozidi kupotea mikononi mwake, na mi nahisi mama domo anatamani kabisa mwanae asingezaa ili afaidi vizur Mali za mwanae, maana sio kwa chuki hizi kwa zari
Umemaliza geni bora ukubalike kwa mama mkwe ata kama ww na mumeo hamuelewaniSikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi
Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi
Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?
Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!
Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!
Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!
Fanya kazi km huna akili nzuri!
Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!
Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
KaribuJamani naombeni mnikaribishe jukwaani..
Na mm nataka mishikaki [emoji134]usijali shemej nakuja soon namalizia kuvuna
wwe andaa tu meno
haya nipe ya Mama Diamond namii niwasimlie huku bushi kwetu wanione mjanjaaaa