Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Ni wakat sasa huyu mama Akamtafuta mzaz mwenzake
kukaa chini na kusamehane maisha Hayana garantee haya leo upo juu kesho upo chin

Roho yangu inaniuma kumuona mzee kama yure Kutaabika nawakat anamtt mwenye uwezo

Yure mzee anamakosa mengi sana bt Mzazi ni mzazi Hata kama Ni Mlemavu

aaaaarrrrgggg


waiter zungusha tena [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
 
Sikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi

Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi

Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?


Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!

Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!

Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!

Fanya kazi km huna akili nzuri!

Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!

Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Huo unafik sasa
 
1474653936395.jpg
 
Sikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi

Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi

Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?


Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!

Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!

Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!

Fanya kazi km huna akili nzuri!

Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!

Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Ameshajua udhaifu wa dai ni watoto bac kiburi kimemjaa hatari, saa hizi dai anamrusha mama yake tu roho maana anajua hapendi
 
Ameshajua udhaifu wa dai ni watoto bac kiburi kimemjaa hatari, saa hizi dai anamrusha mama yake tu roho maana anajua hapendi
Mwisho wa siku yule mama akinyongea tu vyote vinaondoka hvyoo!

Huyo zari angekua anampenda dai si angekuja mwaka2008...

Dai anachokifanya yule...

Sio mjinga haswa kipindi hiki mjamzito!anapaswa kuwa mpole!
 
Hivi kwa nn huyu mama anamchukia sana mzazi mwenzie na mwanae(zari) ,naona hali imefikia pabaya mpaka kufikia hatua ya kuongea maneno magumu Kwenye mitandao ya kijamii. tunajua zari Ana mapungufu yake ndio ila sio kwa bifu hilo, anajitahidi kumtafutia mwanae wanawake wengine ili tu waachane na zari, najua kinachomuuma ni Mali za mwanae, anajua zari akizidi kuzaa ndo Mali zitakapozidi kupotea mikononi mwake, na mi nahisi mama domo anatamani kabisa mwanae asingezaa ili afaidi vizur Mali za mwanae, maana sio kwa chuki hizi kwa zari
Mama Diamond ndiye nani?
 
Sikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi

Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi

Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?


Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!

Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!

Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!

Fanya kazi km huna akili nzuri!

Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!

Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Umemaliza geni bora ukubalike kwa mama mkwe ata kama ww na mumeo hamuelewani
 
usijali shemej nakuja soon namalizia kuvuna

wwe andaa tu meno

haya nipe ya Mama Diamond namii niwasimlie huku bushi kwetu wanione mjanjaaaa
Na mm nataka mishikaki [emoji134]
 
Mama gani atakubali mtto wake atoke na mwanamke aliyemzidi miaka mingi ata kama n ww utakubali uletewe mkwe wa hivyo na mtto wako, zari ana kiburi mtu gan huelewan na mama mkwe wifi kweli najifanyaga mjinga nikienda kwa mama mkwe mm ndo house gal kaz zote mm utafanyaje huna jins ndo ukweni raha ukiludi kwako unajifanya mjinga yako yanakuendea
 
Back
Top Bottom