Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Bas aolew yeye na mwanae ili neno la nani kama mama litimie
 
Hapo ndo tunapofeli!

Mama mkwe wako sio mama ako?

Haijalishi unaongea na nguo au uchi!

Mimi km mm naheshimu mnoo mama mkwe

Aniseme,aninyambue,atajijua mwenyewe yule mie mzazi wangu km kanizalia Mme wangu!

Nashukuru sana hilo la kua kimya lilinisaidia sana
.Wananipenda balàa yaani!
 
Bi Sandra ni zaidi ya mswahili,yule mama nahs anataman mwanae asiwe na mwanamke kabsa mana hata kwa wema walisema mengi sana.
Ila wema alijishusha akamchukulia jinsi alivyo

Ndivyo bibi tukinao anachopaswa kufanya
 
Hamna wambeke mama ni mama anajua maisha aliyosota na mtto wake
shunie kweli mama ni mma lkn mama huwezi kunifata kila mahali isitoshe huyo mama ni mwislam anajua kabisa ndoa zao zikoje.

lazima ajifunze kumuacha Dai na maisha yake.

na Ndomo nae amwambie mama mapenzi yangu kwako ni makubwa sana na hayana kifani natambua kabisa mchango wako katika maisha yangu

lakin sasa niache nijenge familia yangu na mke wangu na mtoto wangu
amwambie mama nimekuwa na wewe kwa mda gani ni nini nimefanya zaidi ya starehe za hapa na pale

na kuishia kugongewe tu na kuzalia chooni

nimekuwa na Penny nimepiga bila faida mbona ulikuwa husemi?

huyu dada licha ya umaarufu wae amemua kunizalia kunitengenezea familia muache sasa inatosha
 
Bi Sandra ni zaidi ya mswahili,yule mama nahs anataman mwanae asiwe na mwanamke kabsa mana hata kwa wema walisema mengi sana.
Kumbe mnamjua mswahili...

Sisi wenyewe humu tupo wenye magubu kwa mawifi zetu!

Yule mswahili ndo ashakua hvyo!

Kumuepuka mjengeeni akae mbali!
 
Ila wema alijishusha akamchukulia jinsi alivyo

Ndivyo bibi tukinao anachopaswa kufanya
Alijishusha ndio ila mwisho wake na mondi si waliachana tu,tena wakawa wanampigia promo penny,sasa mondi ameshajua mbaya wake nani ndo mana sasa hawasikilizi tena,uswahili wa bi Sandra na wanae ni mziki mnene ambayo ni zari tu anaweza kuucheza
 
Si alishajengewa tandale ,sema ndo kutoka Madale wamegoma tena adi mondi kaona anunue Nyumba south,[emoji23] ...sasa sijui watahamia south tena.
what if diamond called her mom back?!!

Wadada tujifunze kujenga familia za watu badala ya kuwa wabomoaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…