This can also be fake....
Huyu mama mi ana wivu sna na mwanae...huyu akibebishwa na mwanae huenda ndio atatuliaSi alishajengewa tandale ,sema ndo kutoka Madale wamegoma tena adi mondi kaona anunue Nyumba south,[emoji23] ...sasa sijui watahamia south tena.
Wanaume wa jf wanafiki sana, leo mnamponda mama diamond kwa kutompenda Zari,
Wakati humu zimejaa nyuzi kibao mnapeana onyo msioe wanawakae wenye watoto,
Sasa mbona Mnataka Domo awe na Zari
Hata mi siwez ruhusu mwanangu aoe mmama mtu mzima mwenye watoto wa4
yes. yapo sana tena. mawifi na mama mkwe kumchukia mke wa ndugu yao pasipo na sababu ya msingi. basi tu ni chuki binafsi.Haya mambo yapo hata kwenye familia zetu pengine ana sababu zakee bi mkubwa
Hiyo ni story tu ...kikiakee ndo mhusika mkuu hapo
Hahaha hata sugu alipata kuimba wanahate tu ukiwauliza sababu hawana ila wana hate[emoji1] [emoji1]yes. yapo sana tena. mawifi na mama mkwe kumchukia mke wa ndugu yao pasipo na sababu ya msingi. basi tu ni chuki binafsi.
Mmmhuuuuu.Wanaume wa jf wanafiki sana, leo mnamponda mama diamond kwa kutompenda Zari,
Wakati humu zimejaa nyuzi kibao mnapeana onyo msioe wanawakae wenye watoto,
Sasa mbona Mnataka Domo awe na Zari
Hata mi siwez ruhusu mwanangu aoe mmama mtu mzima mwenye watoto wa4
hahahahaha kibibi kizima kujishuulisha na social media. [emoji23] [emoji23] [emoji23]huyu mama ni hatari"eti kujamba sio kunya" we Diamond mnyanganye mama yako hiyo smart phone anatia aibu
Mama na dada mtu tumesubiri wawish habd lakin wapi wanachamba tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maisha bila unafki hayaendi!
Wivu tu unamsumbuaHuyu mama amekosa nini kwa mwanae mpaka amfuatilie hivyo?
Hana nyumba ya kuishi? Hapati pesa ya mavazi, chakula na matumizi mengine?
Sikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi
Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi
Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?
Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!
Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!
Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!
Fanya kazi km huna akili nzuri!
Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!
Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Sikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi
Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi
Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?
Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!
Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!
Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!
Fanya kazi km huna akili nzuri!
Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!
Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Huyo mama hajui kwamba mwanae kapanda chati kwa ajili ya nyota ya Zari? The good thing naona Dimond ameiona. .na hadanganyiki! Big up MondiKwani Tiffah kuna mdogo wake anakuja? Hao wanawake wengine anaomtaftia mwamae hawazai?
hii tabia hunikera sana. unaweza kuta na wewe hapo unabeef na mke wa kaka yako!yes. yapo sana tena. mawifi na mama mkwe kumchukia mke wa ndugu yao pasipo na sababu ya msingi. basi tu ni chuki binafsi.
Well saidKwa kweli akinitia kidole cha macho lazima nimchenjie hata km mama yangu mzazi, truth be told , hata km hatoniheshimu, akivuka level yangu nayoweza kuvumilia, wazazi sio Mungu, ni binadamu km wewe, they make mistakes, tunachofanya ni kuwaheshimu wametuzidi umri lkn akiku treat ndivyo sivyo ikapita kiasi uko kimya tu i'm sore to say thats not really smart. Treat me like a grown up niheshimu nikuheshimu tuheshimiane km mama na mtoto knowing, we both have feelings, ukivuka level ya mimi kukuheshimu, sitokuheshimu hata uwe na miaka 200, hata mie mzazi wangu asingenizaa, huyo mwanae asingepata mke. Period! Maisha yallivyo magumu kubebana stress zisizo muhimu km mama mkwe no thanks,
Sometimes people treat you the way you let them treat you, ugenini km ukweni, respect them ila chokochoko ikizidi, make them have some several seats and live your life.
Mbaya zaidi ukute mama mkwe anakuzingua wkt mwanae ana tabia iliyooza, kha! Ataisoma namba kwa kweli.