Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Siku hizi kila unapoenda iwe kitaa, ofisini au kwenye mitandao ya kijamii watu wanaleta chuki bila sababu ya msingi. Watu wakikuona una maendeleo binafsi na unavaa unapendeza wanakushambulia kwa maneno ya fitina au majungu tu ili kukukatisha tamaa. Wengine wanadiriki kabisa kukushambulia Mungu alivyokuumba kana kwamba wewe umejiumba mwenyewe vile. .
Mimi binafsi nimezaliwa mweupe na Mungu kaniumba hivyo mweupe peeee sasa sijui kwa nini watu wanakerwa sana na mimi kuwa mweupe kana kwamba ni kitu ambacho nimekichagua. Mungu kapanga niwe kijana mwanaume mweupe pee sasa watu wanaloga, wengine wanasema maneno machafu: eti mweupe kama papai, mara mweupe mpaka unakera, mara ungekuwa albino, wengine wananiita albino shida sana ila kuna watu wanakera sana wanavuka mipaka wananiita cheupe badala ya kuiniita white, ili tu waniuzi sijui wanapata faida gani.
Nimegundua kitu kimoja baada ya kuona atu wananishambulia wakati sijwahi hata kupoteza mda wao. Nimegundua watu wafupi wanachukia sana watu warefu wakati watu warefu hawana mda kuhangaika kuwashambulia wafupi. Watu weusi tiii huwa wanashambulia sana watu weupe huku watu weupe hawana shida ya kuwashambulia watu weusi. Kuna watu wanashambulia sana watu wembamba kisa tu wao ni vibonge wanawaonea wivu kwa sababu tu zao binafsi.
Ukiona mtu anakushambulia jinsi Mungu alivyokuumba kaa nao mbali hao watu ni wale wale wenye chuki hawawezi na hawatoweza kuwa wa maana katika maisha yako. Furahi sana jinsi Mungu alivyokuumba kwani amekuumba kwa mfano na sura yake mwenyewe. Acheni kujichubua, kujikondesha, kujiongeza viungo au kupunguza makalio kwa sababu ni kufuru kwa Muumba wa nchi na mbingu. .
Mimi binafsi nimezaliwa mweupe na Mungu kaniumba hivyo mweupe peeee sasa sijui kwa nini watu wanakerwa sana na mimi kuwa mweupe kana kwamba ni kitu ambacho nimekichagua. Mungu kapanga niwe kijana mwanaume mweupe pee sasa watu wanaloga, wengine wanasema maneno machafu: eti mweupe kama papai, mara mweupe mpaka unakera, mara ungekuwa albino, wengine wananiita albino shida sana ila kuna watu wanakera sana wanavuka mipaka wananiita cheupe badala ya kuiniita white, ili tu waniuzi sijui wanapata faida gani.
Nimegundua kitu kimoja baada ya kuona atu wananishambulia wakati sijwahi hata kupoteza mda wao. Nimegundua watu wafupi wanachukia sana watu warefu wakati watu warefu hawana mda kuhangaika kuwashambulia wafupi. Watu weusi tiii huwa wanashambulia sana watu weupe huku watu weupe hawana shida ya kuwashambulia watu weusi. Kuna watu wanashambulia sana watu wembamba kisa tu wao ni vibonge wanawaonea wivu kwa sababu tu zao binafsi.
Ukiona mtu anakushambulia jinsi Mungu alivyokuumba kaa nao mbali hao watu ni wale wale wenye chuki hawawezi na hawatoweza kuwa wa maana katika maisha yako. Furahi sana jinsi Mungu alivyokuumba kwani amekuumba kwa mfano na sura yake mwenyewe. Acheni kujichubua, kujikondesha, kujiongeza viungo au kupunguza makalio kwa sababu ni kufuru kwa Muumba wa nchi na mbingu. .