Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kuna jambo ambalo nadhani Jose anapaswa kulifahamu. Mahusiano yake na wachezaji wa team hzi kubwa.hasa wale ambao amewakuta.
Tuliona jinsi ambavyo alikosana na wachezaji wa Chelsea wakaamua kumchoma kwa kutokupata ushindi mwishowe akafukuzwa.
Akaja kutana na tatizo kama hilo tena Manchester na mwishowe akafukuzwa tena.
Ole Solskjaer alipochukua team ilikuwa na mzuka wa to get rid of Mourinho na kuonesha kuwa tatizo lilikuwa ni Mourinho hapo Manchester ilikuwa ikicheza kwa jihad sana.kufa na kupona ili kudhihirisha kuwa tatizo sio wao.
Ile spirit imeenda imeisha ...nguvu ya soda.sasa watu wameanza tena kujipigia Manchester kama kawaida. Ole alishagundua tatizo la Jose lilikuwa nini.so akawa kama anawaacha wachezaji wacheze watakavyo na kuwapa ka uhuru flani uwanjani.
Baada ya mkataba things wont be the same. Atataka awe kama manager...tayari alishawadekeza wachezaji wake. Si jambo la ajabu naye wakaanza kumfanyia hujuma.
Namshauri akiona vipi awapige chini wachezaji walioongoza mgomo kwa Jose asajili wapya.asidhani atakuwa salama chini ya wachezaji hao maana tayari wao wanadhani ni masikio yanayoweza kuzidi kichwa.
Tuliona jinsi ambavyo alikosana na wachezaji wa Chelsea wakaamua kumchoma kwa kutokupata ushindi mwishowe akafukuzwa.
Akaja kutana na tatizo kama hilo tena Manchester na mwishowe akafukuzwa tena.
Ole Solskjaer alipochukua team ilikuwa na mzuka wa to get rid of Mourinho na kuonesha kuwa tatizo lilikuwa ni Mourinho hapo Manchester ilikuwa ikicheza kwa jihad sana.kufa na kupona ili kudhihirisha kuwa tatizo sio wao.
Ile spirit imeenda imeisha ...nguvu ya soda.sasa watu wameanza tena kujipigia Manchester kama kawaida. Ole alishagundua tatizo la Jose lilikuwa nini.so akawa kama anawaacha wachezaji wacheze watakavyo na kuwapa ka uhuru flani uwanjani.
Baada ya mkataba things wont be the same. Atataka awe kama manager...tayari alishawadekeza wachezaji wake. Si jambo la ajabu naye wakaanza kumfanyia hujuma.
Namshauri akiona vipi awapige chini wachezaji walioongoza mgomo kwa Jose asajili wapya.asidhani atakuwa salama chini ya wachezaji hao maana tayari wao wanadhani ni masikio yanayoweza kuzidi kichwa.