Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 680
- 1,306
Pole sana umekosa burudani safi sana kwa hao legendsUnazi wa kupindukia Kwa real Madrid na Manchester united ulifanya nishindwe kutazama mechi nyingi za fc Barcelona
Huwa najilaumu Kwa kujikosesha nafasi ya kuangalia soka safi na linalovutia hasa kutoka Kwa hao mafundi wawili enzi hizo wakiwa moto.
Nimeipokea mkuuPole sana umekosa burudani safi sana kwa hao legends
Nimelifata soka safi man citySaivi umebaki kuangalia utopolo wa Man United. Team inamaliza msimu na Goal Difference negative [emoji23][emoji23][emoji23]
Alitupiga mbili pale Santiago bernabeuKama hujawahi kumwangalia Ronaldinho akicheza mpira basi hujawahi kuangalia mpira at all.
Mpira wowote mzuri naangalia usipokua wa Chelseajifunze kuwa mshabiki wa mpira kabla ya kuwa mshabiki wa team..
utakosa mambo mengi mazuri
Unazi wa kupindukia Kwa real Madrid na Manchester united ulifanya nishindwe kutazama mechi nyingi za fc Barcelona
Huwa najilaumu Kwa kujikosesha nafasi ya kuangalia soka safi na linalovutia hasa kutoka Kwa hao mafundi wawili enzi hizo wakiwa moto.
Pole sana hujawahi kuangalia Barcelona ya Xavi, Iniesta na Messi wakiwa chini ya Guadiola...basi bado hujawahi kuona soka.
mi huwa naonaga dinho alikua overrated sana.. thou alikua mchezaji mzuri.Fact, gaucho hakua na chochote cha kuwazidi hao wote.
Download video za mechi zao utazamePole sana umekosa burudani safi sana kwa hao legends
Majuto ni mjukuu...Unazi wa kupindukia Kwa real Madrid na Manchester united ulifanya nishindwe kutazama mechi nyingi za fc Barcelona
Huwa najilaumu Kwa kujikosesha nafasi ya kuangalia soka safi na linalovutia hasa kutoka Kwa hao mafundi wawili enzi hizo wakiwa moto.