Chuki yangu na trafiki imegoma kuondoka

Chuki yangu na trafiki imegoma kuondoka

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,093
Huwa najitahidi sana kuwa Positive na kuwachukulia hawa watu kama wafanyakazi wengine wenye wajibu wao kisheria, lakini hawa watu wamejiweka kwenye zone yao ya ULAFI, KUKOSA UTU, TAMAA NA UPUMBAVU.

Imagine hawa watu wako pale kujipatia elfu 5 na elfu 2 za watu bila huruma, hawanaga utamaduni wa kuelimisha wala kutoa onyo kwa mtu ambaye huenda hata hakuwa anajua Jambo. Wao ni kutishia kukuandikia fine ama la sivyo ukunje ka elf 5 Umpe akanywe supu na bia. VERY STUPID.

Nimetoka kwenda kwenye mihangaiko Yangu, nimefika sehem nasimamishwa, naombwa card ya gari na Lesseni, nimetoa copy ya card yangu na lessen, tatizo COPY YA CARD haina verification sticker ya TRA, kumweleza kwamba nimesahau yenye sticker haelewi, huku wakichombezana na mwenzake Mwandikieeee huyo. Kila ukiwaeleza kwamba wana nafasi ya kuelimisha watu kwanza badala ya kuwaza fine ambazo hata wao haziwasaidii, wanakenua meno na kuhisi wanakukomoa.

Wakaandika Mkeka wao na nikaondoka na maumivu ya elf 30, bad enough hawajui kama nawafaham na kuna Engle ntakutana nao na ntatumia pia nafasi yangu kuwakumbusha ujinga wao.

Hawa watu wameoza kwenye ulafi na tamaa za kijinga.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hawa jamaa wanajisahau sana mkuu, wameweka tamaa mbele kuliko chochote, anyway tutafika tu.
 
Ila chama kiliwaambia wapungue barabarani, ndio idadi inaongezeka.
 
Nilitamani siku flan hivi nilete uzi kama huu,siku flan hivi bima iliisha na sikuwa na kiasi cha kulipa kwa siku hiyo,ikabidi ni 4ce mazingira ili nilipe,siku napigwa mkono nna kibunda cha kulipa, kwenye maongezi yetu jamaa akahitaji niunge, Hamad ile kufungua pia kwenye droo mwamba kaona noti kadhaa nyingi hivi lengo nilipie bima, nikaenda kama na buku 3 hivi ili kupoza then aniache nikakate bima, heeeeh mwamba kachomoa bhana mi 3 ikabidi achore mkeka, nika muaga na kumtakia majukumu mema.

Baadae kwenye purukushani mida ya saa 5 asubuh hivi baada ya kupigwa cheti cha kosa la bima nikakatisha town ile navuka tu makutano taa ya kijani ikazima, tambua nipo kati kati ya barabara mbele mwamba kanisimamisha eti nimepita kwenye taa ya orange, huku na huku kila nikimwelewesha mwamba kakaza basi kiulaini akachukua mitano ila roho ili niuma kinoma yani, nikasema haya kama hii mitano utaenda kumalizia kibanda chako basi nikutakie kila la kheri na uhamie mapema kwenye mjengo wako.[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Nilitamani siku flan hivi nilete uzi kama huu,siku flan hivi bima iliisha na sikuwa na kiasi cha kulipa kwa siku hiyo,ikabidi ni 4ce mazingira ili nilipe,siku napigwa mkono nna kibunda cha kulipa, kwenye maongezi yetu jamaa akahitaji niunge, Hamad ile kufungua pia kwenye droo mwamba kaona noti kadhaa nyingi hivi lengo nilipie bima, nikaenda kama na buku 3 hivi ili kupoza then aniache nikakate bima, heeeeh mwamba kachomoa bhana mi 3 ikabidi achore mkeka, nika muaga na kumtakia majukumu mema.

Baadae kwenye purukushani mida ya saa 5 asubuh hivi baada ya kupigwa cheti cha kosa la bima nikakatisha town ile navuka tu makutano taa ya kijani ikazima, tambua nipo kati kati ya barabara mbele mwamba kanisimamisha eti nimepita kwenye taa ya orange, huku na huku kila nikimwelewesha mwamba kakaza basi kiulaini akachukua mitano ila roho ili niuma kinoma yani, nikasema haya kama hii mitano utaenda kumalizia kibanda chako basi nikutakie kila la kheri na uhamie mapema kwenye mjengo wako.[emoji35][emoji35][emoji35]
Sijawahi kuona watu wapumbavu kama hao jamaa, kwa akili za kawaida hata ungekuwa wewe kuna ubinadam fulani unakuingia, ila jamaa hawanaga akili za kujiongeza.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Huwa najitahidi sana kuwa Positive na kuwachukulia hawa watu kama wafanyakazi wengine wenye wajibu wao kisheria, Lakini hawa watu wamejiweka kwenye Zone Yao ya URAFI, KUKOSA UTU, TAMAA NA UPUMBAVU,

Imagine hawa watu wako pale kujipatia elfu 5 na elf 2 za watu bila huruma, hawanaga utamaduni wa kuelimisha wala kutoa onyo kwa mtu ambaye huenda hata hakuwa anajua Jambo. Wao ni kutishia kukuandikia fine ama la sivyo ukunje ka elf 5 Umpe akanywe supu na bia...VERY STUPID.

Nimetoka kwenda kwenye mihangaiko Yangu, nimefika sehem nasimamishwa, naombwa Card ya gari na Lesseni, nimetoa copy ya card yangu na lessen...tatizo COPY YA CARD haina verification sticker ya TRA, kumweleza kwamba nimesahau yenye sticker haelewi, huku wakichombezana na mwenzake Mwandikieeee huyo...kila ukiwaeleza kwamba wana nafasi ya kuelimisha watu kwanza badala ya kuwaza fine ambazo hata wao haziwasaidii...wanakenua meno na kuhisi wanakukomoa.

Wakaandika Mkeka wao na nikaondoka na maumivu ya elf 30, bad enough hawajui kama nawafaham na kuna Engle ntakutana nao na ntatumia pia nafasi yangu kuwakumbusha ujinga wao.

Hawa watu wameoza kwenye ulafi na tamaa za kijinga.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Si Traffic Tu ni mfumo WA serikali huo ,na umehalalishwa kabisa na chama chakavu CCM ,we ulishawahi sikia mtu anafungwa Kwa kutoa au kupokea rushwa nchi hii Tangia uzaliwe ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunahitaji revolution ,hapo bado hujakutana na vibwengo WA TRA na mamlaka nyingine ,hao ndio utatamani ugeuke Osama bin Laden kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tanzania imeoza
 
Duh asee mbaya zaidi unatoa pesa huku unaonesha tabasamu kumbe moyoni unaumia. kuna mmoja yuko buguruni ye anadealna madaladala analipiga picha kabisaa afu anamwonyesha dere mpaka muda fulani (let say saa sita mchana) kama hujanitafuta nakutolea mkeka. hapo konda lazima akirudi tu ampitishie mzigo ili mambo yaende sawa.
 
Nikikuta traffic police anakufa Kwa kiu ya maji na Nina Chupa ya maji ya uhai Bora hayo maji niyatumie kuoshea macho yangu ili nishuhudie vizuri namna Hilo li traffic uchwara linavyokata roho.


Nina visa viiiingi na hawa mbwa!
 
Nikikuta traffic police anakufa Kwa kiu ya maji na Nina Chupa ya maji ya uhai Bora hayo maji niyatumie kuoshea macho yangu ili nishuhudie vizuri namna Hilo li traffic uchwara linavyokata roho.


Nina visa viiiingi na hawa mbwa!

Kuwa na huruma... Ujue na wao ni watu na Wana wategemezi.
 
Shida sio wao selikal imewafanya kuwa sehemu ya wakusanya mapato
Tutawalaumu bure

Lakini pia uwepo wao inafaida
Ajari zinaoungua

Waza kama wasingekuwepo
 
Trafiki ni tatizo sana na mbaya zaidi wanaamini ni lazima mtu atoe rushwa kivyovyote vile...
 
Usiwalaumu wao, walaumu wabunge waliopendekeza hizo sheria ambazo wao huwa wanatekeleza tu.
 
Ukishazoea vihela vya rushwa..mwisho wasiku unaona rushwa ni haki yako ya msingi.

Trafiki wengi ni akili kisoda..kumbukeni wengi walipata zero 4m4..watu kama hao reasoningi wanatoa wapi.

Hela za dhurmua huwa hazina maisha..wengi njaa kali sana na maisha yao huwa mabaya sana hawanaga mwisho mzuri.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom