kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Kifo kibaya kimemkuta mmoja wao majuzi tu hapo Mang'ula ilikuwa hivi; jamaa (trafiki) kamaliza kukagua gari (Fuso) akawa anaandaa mkeka huku kasimama pembeni ya cabin, aisee ghafla bin vuu ilitokea boda kwa speed kali sana ikapita nae akaenda chini kapigiza sehemu ya nyuma ya kichwa.Hawa watu huwa wanakufa vifo vibaya sana kutokana na dhulma zao, kwanza hawana utu kabisa mola awalaaani na makaburi yao yawe mashimo ya choo motoni.
Alivuja damu ya kutosha kumuwahisha hospitali akakatia moto njiani, ikawa Bwana ametoa bwana ametwaa....
Manung'uniko yakizidi hugeuka laana, asanteni sana. Nikiripoti toka pande hizi mimi ni KB wa JF.