Chuki za kisiasa isiwe sababu ya wapinzani kupakazia wanaCCM ujambazi. Unyanyangnyi wa kutumia siraha ni serious offence

Chuki za kisiasa isiwe sababu ya wapinzani kupakazia wanaCCM ujambazi. Unyanyangnyi wa kutumia siraha ni serious offence

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Jamaa zetu Chadema wanakasumba mbaya sana. Walishazoea siasa za kubebwa. Wakikutana na mtu anayejua kuwabana kisiasa kama Paulo Makonda au Mwita Waitara wao huwa wanaleta chuki zisizo na mashiko.

Mtu hata kama hana hatia za ujambazi watafurahi tu aingie lupango kisa tu wameshamchukia.

Tuweke siasa kando linapokuja suala la kupambana na uharifu sio kukomaa tu bila kutumia akili.

👇Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi
 
Jamaa zetu Chadema wanakasumba mbaya sana. Walishazoea siasa za kubebwa. Wakikutana na mtu anayejua kuwabana kisiasa kama Paulo Makonda au Mwita Waitara wao huwa wanaleta chuki zisizo na mashiko.

Mtu hata kama hana hatia za ujambazi watafurahi tu aingie lupango kisa tu wameshamchukia.

Tuweke siasa kando linapokuja suala la kupambana na uharifu sio kukomaa tu bila kutumia akili
👇Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi
Imethibitishwa na wanasayansi katika maziwa makuu haya matunda damu ni mazuri sana kwa choo kigumu. Ukiyala kila siku ukienda chooni hutakakamaa. Yana vitamin za kutosha.
Plum_edited-scaled.jpg


Nyau ww
 
Dah! Kama Sabaya na kile kikundi chake hawakuwa wahalifu, basi tukubaliane tu kwenye hii nchi, kila mtu na aishi kwa urefu wa kamba yake. Maana hakuna namna.
 
Samia kaona awalegeze mashabiki wa mwendazake muone bado yuko pamoja nanyi, mlikuwa mmemnunia sana, mpaka mkaanza kuidai Katiba Mpya, leo hata bei ya mafuta hamuikumbuki tena mnashangilia tu.
 
Dah! Kama Sabaya na kile kikundi chake hawakuwa wahalifu, basi tukubaliane tu kwenye hii nchi, kila mtu na aishi kwa urefu wa kamba yake. Maana hakuna namna.
Ahaaa
 
Samia kaona awalegeze mashabiki wa mwendazake muone yuko pamoja nanyi, mlikuwa mmenuna sana.
Mbona huwa mna mawazo mgando sana. Mahakama sio chombo huru?
 
Back
Top Bottom