Chuki za wazi hizi.........

Chuki za wazi hizi.........

BABA BOMBASTIC

Senior Member
Joined
Jul 10, 2024
Posts
146
Reaction score
246
Ukinichukia nakuchukia titi 4 tati,ukinipenda nakupenda titi 4 tati...

Kuchukua ubingwa mara tatu mfululizo,nakuingia fainali shirikisho kumejenga chuki dhidi ya viongozi wa simba juu ya yanga,mwanzoni aimba ilijitapa kuwa hao ndio wanaiwakilisha tanzania vinzuri lakini vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vimefekwa,vipigo vya mara 4 mfululizo vimewatengenezea sumu juu ya club ya yanga,ndo maana sasa wamekuja na kauli ya ubaya ubwela,na visababu eti yanga inatumia sindano za nguvu,na waambia hivi simba shimo unalochimba wenyewe ndio litakalo wazika..

Sasa hivi wamekuja na mbinu ya kuwachezea rafu wachezaji wa yanga kwa kuhonga pesa kwenye timu zinazokutana na yanga,sawa nyie endeleeni kuturogea wachezaji wetu,lakini mmoja hamtamuweza maxi zengeli church boy huyu ni moto na anarindwa na damu ya yesu.

Nawaambia hivi simba tambeni sasa hivi ndo fursa mliyopata,lakini nawaambia yanga hii unayoizarau na kuiletea maneno ya kashifa inaenda kuchukua ubingwa wa AFRICA,na mtakuja kusadiki maneno yangu nawaomba viongozi wa jamii huu uzi uwekwe tayari pindi yanga ikichukua ubingwa ni pewe maua yangu..
Jiwe walilolikataa limekuwa jiwe muhimu,na yeyote achezeaye jiwe hilo litamponda na kumsaga,jiwe hilo ni yanga...
 
Ukinichukia nakuchukia titi 4 tati,ukinipenda nakupenda titi 4 tati...

Kuchukua ubingwa mara tatu mfululizo,nakuingia fainali shirikisho kumejenga chuki dhidi ya viongozi wa simba juu ya yanga,mwanzoni aimba ilijitapa kuwa hao ndio wanaiwakilisha tanzania vinzuri lakini vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vimefekwa,vipigo vya mara 4 mfululizo vimewatengenezea sumu juu ya club ya yanga,ndo maana sasa wamekuja na kauli ya ubaya ubwela,na visababu eti yanga inatumia sindano za nguvu,na waambia hivi simba shimo unalochimba wenyewe ndio litakalo wazika..

Sasa hivi wamekuja na mbinu ya kuwachezea rafu wachezaji wa yanga kwa kuhonga pesa kwenye timu zinazokutana na yanga,sawa nyie endeleeni kuturogea wachezaji wetu,lakini mmoja hamtamuweza maxi zengeli church boy huyu ni moto na anarindwa na damu ya yesu.

Nawaambia hivi simba tambeni sasa hivi ndo fursa mliyopata,lakini nawaambia yanga hii unayoizarau na kuiletea maneno ya kashifa inaenda kuchukua ubingwa wa AFRICA,na mtakuja kusadiki maneno yangu nawaomba viongozi wa jamii huu uzi uwekwe tayari pindi yanga ikichukua ubingwa ni pewe maua yangu..
Jiwe walilolikataa limekuwa jiwe muhimu,na yeyote achezeaye jiwe hilo litamponda na kumsaga,jiwe hilo ni yanga...
Wahi Milembe kabla hali yako haijawa mbaya. Mlipoambiwa Kampeni ya UBAYA UBWELA hamkuelewa sasa hivi ndipo mmeanza kufungua nyuzi za utetezi kila sekunde.

SINDANO YA UBAYA UBWELA inauma hiyooooo! Kama hujapata connection ya video za sindano zenu za kuongeza nguvu nambie nikutumie ili utambue unachowaza shichoooo. Subirini kujibu mashtaka FIFA. Mtajuta kuwachokoza wajanja wa Msimbazi nyie vibwengo.

Ubaya..........

Ubaya..............
Nyie mlienda CAF na DAWA ZA KUPULIZA!
Wenzenu wanaenda FIFA na VIDEO ZA SINDANO!
 
Ukinichukia nakuchukia titi 4 tati,ukinipenda nakupenda titi 4 tati...

Kuchukua ubingwa mara tatu mfululizo,nakuingia fainali shirikisho kumejenga chuki dhidi ya viongozi wa simba juu ya yanga,mwanzoni aimba ilijitapa kuwa hao ndio wanaiwakilisha tanzania vinzuri lakini vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vimefekwa,vipigo vya mara 4 mfululizo vimewatengenezea sumu juu ya club ya yanga,ndo maana sasa wamekuja na kauli ya ubaya ubwela,na visababu eti yanga inatumia sindano za nguvu,na waambia hivi simba shimo unalochimba wenyewe ndio litakalo wazika..

Sasa hivi wamekuja na mbinu ya kuwachezea rafu wachezaji wa yanga kwa kuhonga pesa kwenye timu zinazokutana na yanga,sawa nyie endeleeni kuturogea wachezaji wetu,lakini mmoja hamtamuweza maxi zengeli church boy huyu ni moto na anarindwa na damu ya yesu.

Nawaambia hivi simba tambeni sasa hivi ndo fursa mliyopata,lakini nawaambia yanga hii unayoizarau na kuiletea maneno ya kashifa inaenda kuchukua ubingwa wa AFRICA,na mtakuja kusadiki maneno yangu nawaomba viongozi wa jamii huu uzi uwekwe tayari pindi yanga ikichukua ubingwa ni pewe maua yangu..
Jiwe walilolikataa limekuwa jiwe muhimu,na yeyote achezeaye jiwe hilo litamponda na kumsaga,jiwe hilo ni yanga...
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
 
Mleta mada unazungumziaje ile counter aliyopiga Chikola goli la 2. Imagine ile move Diara kapiga goti, ilivyopigwa juu akaanza kunyata kwenda golini. Kisha Yacouba akaipiga kwa Chikola.
Chambua
 
Ukinichukia nakuchukia titi 4 tati,ukinipenda nakupenda titi 4 tati...

Kuchukua ubingwa mara tatu mfululizo,nakuingia fainali shirikisho kumejenga chuki dhidi ya viongozi wa simba juu ya yanga,mwanzoni aimba ilijitapa kuwa hao ndio wanaiwakilisha tanzania vinzuri lakini vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vimefekwa,vipigo vya mara 4 mfululizo vimewatengenezea sumu juu ya club ya yanga,ndo maana sasa wamekuja na kauli ya ubaya ubwela,na visababu eti yanga inatumia sindano za nguvu,na waambia hivi simba shimo unalochimba wenyewe ndio litakalo wazika..

Sasa hivi wamekuja na mbinu ya kuwachezea rafu wachezaji wa yanga kwa kuhonga pesa kwenye timu zinazokutana na yanga,sawa nyie endeleeni kuturogea wachezaji wetu,lakini mmoja hamtamuweza maxi zengeli church boy huyu ni moto na anarindwa na damu ya yesu.

Nawaambia hivi simba tambeni sasa hivi ndo fursa mliyopata,lakini nawaambia yanga hii unayoizarau na kuiletea maneno ya kashifa inaenda kuchukua ubingwa wa AFRICA,na mtakuja kusadiki maneno yangu nawaomba viongozi wa jamii huu uzi uwekwe tayari pindi yanga ikichukua ubingwa ni pewe maua yangu..
Jiwe walilolikataa limekuwa jiwe muhimu,na yeyote achezeaye jiwe hilo litamponda na kumsaga,jiwe hilo ni yanga...
Aisee
 
Kubali kuwa graph ya utopolo united imeshuka!
 
Back
Top Bottom