Chukua Dk chache usome huu ujumbe, naamini utajifunza kitu

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
✍ Chukua Dk chache usome huu ujumbe, naamini utajifunza kitu iko siku utasema Naam.. asante Mungu.
πŸ‘‡
Matatizo ya wanawake yanaonekana hadharani, ila sio wao tu hata ya wanaume yanaonekana sema tu kwasababu sisi wanaume tunayamaliza kiume.
Ila wanawake mpaka misuto.
πŸ‘‡
Usitangaze mipango yako- watangazie matokeo baada ya kufanikiwa mipango yako, Ya waja ni mengi sana huwezi amin.
Ukiwapa mipango wataaribu mipango na utopata matokeo na ukifeli wataendelea kukukatisha Tamaa.
πŸ‘‡
Ni bora ukafanya mwenyewe mipango yako ili siku ukifeli kusiwepo na kisingizio ulifeli kisa fulani ,
πŸ‘‡
Kila shujaa nyuma yake kuna magumu kapitia na alijitoa so ushujaa hautokei hivi hivi. Hata na anayekusifia lazima ufanye cha kumfurahisha ndo utoa sifa hizo au kumpa kitu chochote.
πŸ™πŸ‘‡
Mungu pekee ndo msimamiz wa kila shughuri yako yeyote so usikate tamaa, yupo mtetezi wako.
Msemo wa "kabla hujafa haujaumbika ^ ni msemo sahihi kabisa maana huwezi kusema huwezi fanikiwa na bado unapambana na ujafa so. Anything can happen,
Allha ni mtetezi wa wanyonge....
Allhamudulilah for Everything
Imeandaliwa na πŸ‘‡πŸ™
✍ @kimodomsafi_
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…