njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kabisa,ulaya wanadai malipo makubwa na mo kaisusia team
Mbinu za mchezo kijana,inatafutwa timing ya kufifisha issue ya tarehe 6Hakuna cha confidentiality, huwezi ukarisk kwenda simba day na jezi za zamani kisa usiri. Msemaji wenu amekiri kuna shida na wanapambana jezi zitoke kabla ya simba day.
Confidentiality?Maswala ya mkataba ambao hela imehusika hayanaga upumbavu na taarabu unazoleta hapa, shida ni kwamba mambo ya Simba sc kwasasa ni confidential mno kiasi ambacho hamkutarajia.
Sasahivi kila outsider hajui lolote kuhusu jezi wala mpnago wake ndiomaana kila mtu anajaribu ku-formulate assumptions za kibyutibyuti.
Mbinu ya mchezo inayotia hasara timu! Hivi unafikiri jezi zikitoka kesho au kesho kutwa zitauza sana au zitaiififisha siku ya mwananchi?Mbinu za mchezo kijana,inatafutwa timing ya kufifisha issue ya tarehe 6
Tulia kijana ngoma inatika tar 5 au 6Mbinu ya mchezo inayotia hasara timu! Hivi unafikiri jezi zikitoka kesho au kesho kutwa zitauza sana au zitaiififisha siku ya mwananchi?
Bookmarked for future use.Tulia kijana ngoma inatika tar 5 au 6
Tundu lililokuwa linavujisha lilishazibwa kitambo hapa unachofanya ni kupiga ramli chonganishi tu. Subiri taarifa rasmi kutoka vyanzo rasmi, hizi taarifa zako ni stori za kwenye kahawa kuchangamsha kijiweKwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.
Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.
Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.
Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.
Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.
Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.
Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.
Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.
Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?
Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.
Unataka taarifa gani rasmi wakati msemaji wenu kashasema kuna tatizo!Tundu lililokuwa linavujisha lilishazibwa kitambo hapa unachofanya ni kupiga ramli chonganishi tu. Subiri taarifa rasmi kutoka vyanzo rasmi, hizi taarifa zako ni stori za kwenye kahawa kuchangamsha kijiwe.
Nawewe umeingizwa chaka na huyu mtu??Mi ninachoona ceo wa simba yuko very straight kitu ambacho wabongo wengi kinatushinda. Ndio maana hta mkinga ameona anasumbuliwa baada ya kupeleka sampo mbili tu!.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Boss unamaanisha M/kiti Mangungu!?CEO alizikataa.
Ila Boss akafunika Kombe ili kuenenda na muda.
Washone hata magunia,nao ni ubunifuKabisa,ulaya wanadai malipo makubwa na mo kaisusia team
Kibaya ni kipi hapo ndg utopolo?Yaani umeniwahi nilikuwa na i post hii habari,kumbe za ndani na wewe unazipataga? Jezi zimekwama hadi mwezi ujao
Yap, tuvute uvumilivu, na sio story za kijiwen za mleta madaIla leo ahmed ally kakiri kuna changamoto iliyo nje ya uwezo wao ila watafanya juu chini jezi zitoke kabla ya simba day.
Asante kwa za ndaaaaani kabisaKwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.
Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.
Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.
Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.
Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.
Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.
Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.
Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.
Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?
Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.
Ninachojua huu uzi hajaandika Kikwete wala Sunday Manara.Kwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.
Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.
Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.
Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.
Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.
Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.
Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.
Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.
Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?
Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.
Kwahiyo msemaji kusema kuwa kuna tatizo lililo nje ya uwezo wao, ndio tu conclude mleta Uzi yuko sahihi?Unataka taarifa gani rasmi wakati msemaji wenu kashasema kuna tatizo!
Kwahyo ni kweli?!Yaani umeniwahi nilikuwa na i post hii habari,kumbe za ndani na wewe unazipataga? Jezi zimekwama hadi mwezi ujao
Utopolo kazi kujitungia story ili mradi kuichafua Simba. Habari za utopolo utaandika lini? Huna jema kuhusu Simba.Kwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.
Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.
Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.
Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.
Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.
Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.
Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.
Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.
Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?
Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.