Chukua Hii: Ishu ya Jezi za Simba Kuchelewa

Chukua Hii: Ishu ya Jezi za Simba Kuchelewa

Maswala ya mkataba ambao hela imehusika hayanaga upumbavu na taarabu unazoleta hapa, shida ni kwamba mambo ya Simba sc kwasasa ni confidential mno kiasi ambacho hamkutarajia.


Sasahivi kila outsider hajui lolote kuhusu jezi wala mpnago wake ndiomaana kila mtu anajaribu ku-formulate assumptions za kibyutibyuti.
Confidentiality?

Kuna siri ya zaidi ya watu 2?
 
Kwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.

Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.

Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.

Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.

Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.

Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.

Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.

Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.

Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?

Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.
Tundu lililokuwa linavujisha lilishazibwa kitambo hapa unachofanya ni kupiga ramli chonganishi tu. Subiri taarifa rasmi kutoka vyanzo rasmi, hizi taarifa zako ni stori za kwenye kahawa kuchangamsha kijiwe
 
Kwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.

Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.

Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.

Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.

Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.

Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.

Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.

Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.

Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?

Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.
Asante kwa za ndaaaaani kabisa

niliwaambia watu kuna mgongano wa kimaslahi na uzembe wakaniona mi mzushi
 
Kwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.

Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.

Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.

Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.

Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.

Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.

Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.

Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.

Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?

Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.
Ninachojua huu uzi hajaandika Kikwete wala Sunday Manara.
 
Uzi uko njiani kutoka usiku wa kuamkia tarehe 6 tuwaumize vizuri na uto day yenu
 
Kwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.

Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.

Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.

Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.

Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.

Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.

Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.

Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.

Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?

Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.
Utopolo kazi kujitungia story ili mradi kuichafua Simba. Habari za utopolo utaandika lini? Huna jema kuhusu Simba.
 
Back
Top Bottom