demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.
Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.
Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.
Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.
Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.
Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.
Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.
Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.
Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?
Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.
Mkinga akaona isiwe shida ngoja akae chini na vijana wake atengeneze design, akamaliza akampelekea Madam. Kwa bahati mbaya SIIO ndio msemaji wa mwisho. Akakataa design ya mkinga. Mkinga akarudi tena kwa vijana wake wakatengeneza design mpya yenye simulizi katika jezi. Nayo ikaletwa kwa mada akaipiga chini.
Mkinga akaona huu sasa ni ufala. Hakutaka mambo za kusumbuana. Akaona ngoja akaushe kidogo. Baada ya mwezi kupita Siio akampigia simu mkinga. "Oi mbona sijaona kazi yako na umekaa kimya?" Mkinga akamjibu kuwa inampasa awe mvumilivu kwakuwa anataka kitu poa.
Siio akaona muda unaenda na aletewi anachokitaka. Na kwa namna apendi dharau akaona isiwe tabu ngoja atafute altenaltive way. Akamvutia waya Law Ngowi. Akaomba appointment naye. Wakakutana siku ya pili baadaye na mazungumzo yalikuwa ni kumuomba Bw Law Ngowi ashike nafasi ya ubunifu pekee then kwenye uzalishaji amuachie kazi Mkinga. Bw Law akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi ingilia majukumu ya kimkataba ya pande nyingine.
Madam baada ya kuchomolewa akarudi kwa bosi. Boss akavuta simu kwa Mkinga. Mkinga akajitetea kuwa kazi amekwisha fanya ila anapewa maelekezo yasiyo ya msingi.
Boss akarudi kwa Siio na maelekezo kuwa aipitishe design ya mwisho ya mkinga. Maadam akakubali kwa shingo upande. Kwa hasira zake akaamua kuchukua jukumu la kizalisha jersy yeye mwenyewe. Na walaa asimshirikishe mkinga. Muda huo mkinga amekaa kimya tu.
Kwa jeuri Siio akaatafuta mzabuni wake huko Ulaya ili aprint uzi. Mzabuni akakubari ila akamwambia kuwa it will take some time. Mkinga akaapigiwa simu na mtu wake kutokaa china "Oya mbona hutumi sammple tufanye production za jersy za msimu huu?". Mkinga akamjibu kuwa dili la msimu huu limeenda ulaya.
Mpaka tarehe 1 mzalishaji jersy wa ulaya alikuwa bado hajakamilisha zoezi.
Kuna uwezekano simba day ikafanyikaa kwa jezi za muundo wa zamani wenye nembo ya MBET?
Nitawapa updates kadiri zikatavyo nifikia.