Chukua hii itakusaidia aliniambia rafiki angu kuhusu kuwa na mpenzi mmoja

Chukua hii itakusaidia aliniambia rafiki angu kuhusu kuwa na mpenzi mmoja

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari!

Nimeleta huu uzi kwa maana vilio vimekua ni vingi mara usimuamini Mwanamke, mara Wanaume wote Malaya.

Sa sikieni one day kuna mshikaji wangu nilimuuliza mbona una demu mmoja unajiamini Nini.

Jamaa anilipa jibu Moja ambalo Hadi Leo lilinijenga aliniambia sikia mwanangu Gizoo.

Mi nishasema siwez endekeza Mademu wengi nitapata magonjwa bureee na kupoteza hela zangu.

Akaongeza Mi nikua na demu mmoja akiniiacha fresh naenda kwingine Nako napenda Kwa Moyo wangu wote Bila kubakisha kitu.

Nikiachwa Nako fresh mwendo ni uleule.

For sure baada ya yale maelezo mi nilijiona fala kweli nikajiuliza hivi Kuna Raha gani ya kuwa na Mademu wengii?

Kwani ukiwa na mmoja ikatokea siku akakuacha si unatafta mwingne Kwani utakua umezuiliwa?

From there I changed.

#🇵🇹
 
Naapa mbele ya mwenyezi Mungu toka nianze kuishi na mke wangu SIJAWAHI KUCHEPUKA zaidi tu labda kupiga nyeto kwenye stripchat love broadcasting na ma ebony wa lati, Colombia, South Africa na Kenya...na niko sawa sioni maana ya mademu wengine ikiwa tu niliye naye ni PC
 
Habari!

Nimeleta huu uzi kwa maana vilio vimekua ni vingi mara usimuamini Mwanamke, mara Wanaume wote Malaya.

Sa sikieni one day kuna mshikaji wangu nilimuuliza mbona una demu mmoja unajiamini Nini.

Jamaa anilipa jibu Moja ambalo Hadi Leo lilinijenga aliniambia sikia mwanangu Gizoo.

Mi nishasema siwez endekeza Mademu wengi nitapata magonjwa bureee na kupoteza hela zangu.

Akaongeza Mi nikua na demu mmoja akiniiacha fresh naenda kwingine Nako napenda Kwa Moyo wangu wote Bila kubakisha kitu.

Nikiachwa Nako fresh mwendo ni uleule.

For sure baada ya yale maelezo mi nilijiona fala kweli nikajiuliza hivi Kuna Raha gani ya kuwa na Mademu wengii?

Kwani ukiwa na mmoja ikatokea siku akakuacha si unatafta mwingne Kwani utakua umezuiliwa?

From there I changed.
Huo ni uchaguzi wake bt hauwezi kua uchaguzi wa kila mwanaume.
 
Kama vidole vya mikono vilivyo,na watu tupo hivyo hivyo,hatufanani.
 
Back
Top Bottom